Kwanini Vodacom imekuwa ikikatakata mara kwa mara?

Mahondaw

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
67,252
168,550
Habari za wakati huu wataalamu!

Hivi ni kwanini sikuhizi huu mtandao wa VODACOM Umekua ukisuasua?!
Yani mambo ni tofauti kabisa na mitandao mingine mtandao wa Voda sikuhizi wamekua wa ajabu sana marekebisho kila kukicha, kero kero nyingi, kukata mtandao sasa ndo usiseme.

Wataalamu tatizo ninini hasa??
Na mbona mitandao mingine haina hayo mambo mara kwa mara kama ilivo kwa VODACOM??!
Kwakweli VODACOM mnaudhi sana sikuhizi.
 
Habari za wakati huu wataalamu!

Hivi ni kwanini sikuhizi huu mtandao wa VODACOM Umekua ukisuasua?!
Yani mambo ni tofauti kabisa na mitandao mingine mtandao wa Voda sikuhizi wamekua wa ajabu sana marekebisho kila kukicha, kero kero nyingi, kukata mtandao sasa ndo usiseme.

Wataalamu tatizo ninini hasa??
Na mbona mitandao mingine haina hayo mambo mara kwa mara kama ilivo kwa VODACOM??!
Kwakweli VODACOM mnaudhi sana sikuhizi.
Mkoa gani huko inasumbua
 
VODACOM MAGUMASHI TU ....SUBIRINI MUONE WATU WAKATAVYO UMIA KWENYE HISA ZAO PIA

OVA
 
Mhmh airtel bando zao ni hatari zinawahi kuisha fastaaa afu airtel ya kijaa huwa naitumia pia very rarely
Voda wanasevu sana ila ndoivo inazingua
Bundle uwai kuisha kulingana na matumizi yako na kuna some social network zinakula sana mb like instagram
 
Back
Top Bottom