trust112
Senior Member
- Feb 3, 2014
- 194
- 139
Mkuu iphone kweli hiyo ni dunia nyingine, watu wanajipa moyo tuu na hata kuthubutu kilinganisha iphone na Samsung ila waanachwa mbali sana. Ukiangilia specifications kwa maandishi utaona kila kitu iphone inazidiwa ila ukija kwenye utendaji ni habar nyingine.
Iphone guaranteed kutumia miaka 3 usipate shida yeyote.
Kukazia hoja watu waende kwa mafundi simu utaona simu mbovu nyingi ni zip. Kuanzia kupasuka vioo na mambo mengine.
Ukiona iphone basi ya wizi mtu kapaleka kutolewa icloud sio mambo mengine.
Mi natumia iphone 6 ya 2014 had leo siwaz kutembea na power bank wala uchafu mwingine
Nasubir mwaka wangu huu wamwisho niupdate ios 11 nibadili device kwajir ya ios
Binafsi natumia iphone 4s,niliagiza uk april 2012 naitumia hadi leo hii sasa hivi naandika hii comment (yapata sasa miaka 5),sijawahi kwenda kwa fundi,sijabadili battery,power bank huwa naziona tu watu wanazitumia....
This is not just a phone....i call it more than a phone