Recent content by Iamhonest

  1. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Mgeni mimi

    :)
  2. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Je, hii ni moja ya sababu kwa nini vijana wengi wa Tanzania hawatoboi?

    Ukishindwa kuanzia padogo unapoweza utakuwa mtazamaji wa wengine wakifanikiwa. Kikubwa Mwamini Mungu. Uwe na taarifa za kutosha juu ya unachotaka kufanya ukiona kuna jambo huelewi vizuri jifunze then anza hata kama ni padogo utafanikiwa mbeleni lkn kuogopa kuanzia padogo hautafanikiwa
  3. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Je, ni zipi sababu za kupanda kwa bei ya .Com domain kwa Tanzania?

    Ulipaswa kwenye maelezo yako useme hvo siyo hiyo border uliyoandika kwa SEO ni sawa lakini hiyo ya ukitaka ivuke border ni uongo. 👍
  4. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Je, hii ni moja ya sababu kwa nini vijana wengi wa Tanzania hawatoboi?

    Sababu kuwa. 1. Kukosa stadi za maisha za kufanya mambo ya kiuchumi kulingana na mazingira yao na wenye stadi wana hofu ya kujaribu na kutokuwa tayari kuanzia padogo. 2. Wengi wana mawazo mazuri ya nn cha kufanya lakini hawana kianzio(mtaji) na mara nyingi ni kwasababu wanaona aibu kuanza kitu...
  5. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Je, ni zipi sababu za kupanda kwa bei ya .Com domain kwa Tanzania?

    Nani alikuambia kuwa domain ikiwa na .tz inakuwa haivuki border? Uelewa wako juu ya domain ndo upo na shida.
  6. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Mwanaume ukioa Mwanamke aliyekuzidi umri utajuta na kuteseka sana

    I found myself enjoying reading your comments in different threads. Now I've followed you. You are such a funny soul.👍 To yeye
  7. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Nchi hii ushindwe tu Mwenyewe kutafuta chimbo la hela. Jiite tu Nabii

    😂😂😂😂😂
  8. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Tatizo la courses katika mfumo wa ajira za TAMISEMI

    mimi ninataka kuingiza CERTIFICATE in Early child Education na haijatokea ndo kilichonileta jf vp ww umefanya nini maana hapo ndo nimekwamia. msaada Please
  9. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Msaada wa tarehe za kuzaliwa za wazazi kwenye tovuti ya kuomba passport ya kusafiria

    habari zenu. samahani nahitaji msaada ninafanya maombi ya passport kubwa ya kusafiria lakini nilipofika kwenye page ya kuingiza taarifa za wazazi baba na mama ninapata error inayosema tarehe siyo sahihi na wakati tarehe hizo zipo sahihi naweza kufanya nini maana bila kurekebisha hapo siwezi...
  10. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Picha hii inakufanya ujiulize nini?

    Kwenye picha hizo hapo juu, utaona watu wawili wameketi kwenye pikipiki. Inaweza kuonekana kawaida kwa baadhi ya watu kwa muonekano wa haraka. lakini kiuhalisia, lakini hao waliokaa nyuma ya dereva siyo watu walio hai: ni miili ya watu waliokufa. Nilidhani naujua uhalisia wa umasikini lakini...
  11. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Msaada wa bei ya kukodishia kampuni eneo kwaajili ya kuweka mnara

    Asante Asante sana kwa majibu.
  12. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Msaada wa bei ya kukodishia kampuni eneo kwaajili ya kuweka mnara

    Asante sana kwa majibu
  13. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Msaada wa bei ya kukodishia kampuni eneo kwaajili ya kuweka mnara

    Habari za muda wana Jamii Forums, Samahani na napenda kupata msaada wa kujua gharama za kukodisha eneo kwaajili ya mnara kwenye eneo la mita 30*30 bei imefika shingapi? 2021 hii. Na mambo gani yakuzingatia kwenye mchakato mzima ikiwepo mkataba. Asanteni.
  14. Iamhonest

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kueleweshwa kuhusu madaraja ya GPA ya Vyuo Vikuu

    Samahani na wanaangalia overall gpa au gpa ya mwaka wa mwisho wa kwenye diploma.
Back
Top Bottom