Recent content by i-store

  1. i-store

    Haya ndio magari chaguo langu

    Gari za Warembo zote hizo.
  2. i-store

    Nina huzuni sana, mume wangu kaniaga anaenda Nairobi kikazi, nilipomfikisha Airport kasema nimdrop Terminal ll

    Terminal II pia hutumika kwa intern flights, terminal I ndo for only local flights
  3. i-store

    Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

    Aliyeleta mada alikuwa sawa ila aishindwa namna ya kuiwasilisha. FYI usalama wa nchi sio kuipigajia ccm ibaki madarakani (kama ilivo kwa sasa). Usalama wa nchi ni lidude lipana hivi? Mfano ukosefu wa fedha za kigeni unaweza sema ni ishu ya kiuchumi tu ila ni purely usalama na mfano wa pili...
  4. i-store

    Ninahitaji Mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi

    If it was that simple ungeshakuwa umepata. Hio elimu ya fedha unayozungumzia ni ipi!! So unazani unaelimu hio kunizidi mimi! Im not sure. 10m ni hela ndogo sana and yet unakuja kuomba mwekezaji JF. Tunakupa options unaleta dharau eti elimu ya fedha. Fyi hata ungehitaji 50m ipo under my capacity...
  5. i-store

    Ninahitaji Mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi

    Najua. Najua pia ugumu wa mtu mwenye mtaji kuweka imani tu na kukupa huo mtaji. Kama ni mwislamu nenda NBC wana service zinazofuata misingi hio, islamic banking.
  6. i-store

    Ninahitaji Mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi

    Jane!? How imani plus Riba? Kwani mtu akiwekeza si anapewa hio 10% (hio si sawa na riba)? Au shida kuitwa riba? Any way kila la heri.
  7. i-store

    Ninahitaji Mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi

    Kwa hii idea. Nenda bank kuna dirisha la wajasiliamali wadogo. Nenda na financial report zote. Naona hii itakuwa njia sahihi.
  8. i-store

    Ajira mpya: Ushauri wa kuacha Kazi

    Huwezi kuwa tajiri kwa mshahara. Acha kazi kapige mitikasi. Usisikie la mtu .. maisha ni yako. Ila kuacha kazi kwa sasa ni mapema sana. Jaribu kuwa mbunifu fanya biashara huko huko na piga ajira. Baada ya mwaka omba kuhama.
  9. i-store

    Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

    Siku ya kwanza ni jumamosi sio jumapili. Mosi ni moja na pili ni mbili then jumatatu. Kimsingi siku ya saba ni ijumaa.
Back
Top Bottom