Recent content by I love my son

  1. I

    Prof. Ndalichako: Kiama kinakuja wanaotumia vyeti feki makazini

    Hawezi pona we huoni uelewa wa macho tu unamshinda itakuwa uelewa wa akili naonaga anaongea INTERNATIONAL PUMBA POINTS hamna kitu yule
  2. I

    Maajabu ya mchepuko wangu

    Kwani lazima mkubali kupelekeshwa na mchepuko...na kwani ni lazima uwe na mchepuko wakati mnalalamika maisha magumu...nonsense! !!
  3. I

    Kwa wanaume wa Dodoma tu!

    Pole mamy wachukulie kama walivyo saa zote vichwa vyao vya chini ndio vinaongea kwenye swala la mahusiano wasamee bure dear...utapata tu mwanaume wakò aliyekupangia Mungu but kwa mimi ninavyoamini kila kitu kinaenda na maombi...wala usitafute funga omba atakuja mwenyewe mpenzi usitafute kabisa...
  4. I

    Maajabu ya mchepuko wangu

    Kweli nimeamini adui wa mwanamke ni mwanamke...kupenda maisha ya shortcut...sisi wanawake tulivyo anakutega huyoo mtu bado anaenda chuo mtoto wa nini?? anajua una mke hamuonei huruma mwanamke mwenzie pamoja na watoto tena kwa mshahara laki mbili....haya endeleeni na michepuko sukari elfu tatu kilo
  5. I

    Mchepuko wa Kikorea umeng'ang'ana nirudi nao Tz

    Mimi natamani akufanyie kitu ambayo itakuwa funzo kwa wanaume wa bongo.... mmezidiiii yani mnafanya michepuko kama kitu cha kawaida kabisa kisa nyege mshindo sasa ule jeuli yako
  6. I

    Nina jinsia mbili, natafuta mpenzi

    Kuna mwanaume ambaye amewahi kujifungua huko bara la Asia kama nakumbuka vizuri....inawezekana kweli,,, but anaonekana hataki kufunguka zaidi anaongea kifupi tu
  7. I

    Nape: Wema ametupa heshima kubwa, tutamuweka kwenye rekodi zetu

    Umeshasema hiii ni TZ sio marekani ni TZ ndugu ni third world country usilinganishe tunatakiwa tu focus mambo ya maendeleo sasa ikiwa viongozi wenywe wana ignore mambo ya maana what do you expect??? lazima tuwe disappointed nao....wake up bado umelala??
Back
Top Bottom