Recent content by hyuvakuul

  1. H

    Chongolo: Jana Lukuvi alienda hospitali, kisha akarudi kazini

    Walipouwa maelfu ya watanganyika hawakusikitika, anakufa panya mmoja ndani ya ccm wanaanza makelele! Hivi wanajielewa hawa?!
  2. H

    Chongolo: Jana Lukuvi alienda hospitali, kisha akarudi kazini

    Walipouwa maelfu ya watanganyika hawakusikitika, anakuga panya mmoja ndani ya ccm wanaanza makelele! Hivi wanajielewa hawa?!
  3. H

    Tujiandae na 'lock down' nyingine kubwa

    Hebu tuyawahi Mafuta ya Sudan Kusini.....na yale ya Uganda!
  4. H

    Vijana nisikilizeni, mwanaume wa ukweli hakai ukweni.

    Hebu watu wa Lindi, Mtwara nk waje hapa wajieleze....
  5. H

    Wanawake mnaopenda kulambwa mnatukosea sana

    Ile inayotoboa chupi za wanawake ni tindikali au vinena?!
  6. H

    Iran Kisha Fanya Majaribio ya Nuclear

    Waajemi wa Buza poleni sana! Kwamba hata hantambui kuwa hiyo clip ni AI....?! Na kinachoongelewa hapo ingekuwa na ukweli ingemaanisha kuwa hiyo taarifa ni ya miaka ya nyuma, siyo sasa! President Biden successor?!
  7. H

    Tume ya Chande imekataliwa karibu na Jumuiya zote za kimataifa, hakuna atakayeamini matokeo yake

    Halafu huyo chande ameshindwa hata kuutambua huo ukweli akajitoa! Hao viumbe wanaokuzwa na kuzoeshwa unafiki ni shiiiida!
  8. H

    Wayahudi Hawakuogopa Kumuua Yesu Kristo Mtoto wa Mungu Wataogopa Kumuua Khamenei?

    Hujajisifu huku unajisifu?! Ila hakuna kosa kwenye kujisifia komaa na masifa tu! Watu wamefurahia waziwazi mauaji ya October, watawala wamejitapa na kuyadogosha kama vile ni kitu cha kawaida!iweje leo watu kufurahia kuuliwa kwa huyo muirani iwe ajabu kwako?! Subirini tu ifike siku ya hao wauaji...
  9. H

    Wayahudi Hawakuogopa Kumuua Yesu Kristo Mtoto wa Mungu Wataogopa Kumuua Khamenei?

    Pole sana, babu yangu ana miaka 78 sasa. Ninatamani niulize mengi lakini nisikuchoshe. Samuya alitamka 'kifo ni kifo' sijui kama ulikimbizana kuja humu kulalamika! Baada ya wauaji kuua mamia ya watanganyika tarehe 29 October na kuendelea, hapa JF kumeibuka wafuasi wa wauaji wakikejeli na...
  10. H

    Mzee Butiku: Tukubali tunaye Rais

    Hili lizee limechanganyikiwa mazima!
  11. H

    Wayahudi Hawakuogopa Kumuua Yesu Kristo Mtoto wa Mungu Wataogopa Kumuua Khamenei?

    Pole sana mzee! Nimeuliza maswali mawili hapo, hujajibu swali la pili! Lakini pia ungetumia ile akili unayodai kwenye mada hii kuwa siyo tu akili ya kuvukia barabara, ungetambua kuwa hizo video mbili yaani hiyo uliyoweka hapo kama kunijibu na ile ya uzi huu hazina mfanano wowote. Kwa hiyo babu...
  12. H

    Wayahudi Hawakuogopa Kumuua Yesu Kristo Mtoto wa Mungu Wataogopa Kumuua Khamenei?

    Msaada jamani! Aliye na alichosema huyu babu kuhusu mauaji ya tarehe 29-31 October naomba ayaweke hapa Na aliye na alichosema kuhusu wale viumbe wanaoyafurahia wazi hapa JF mauaji yale ya watanganyika akiweke hapa tafadhali.
  13. H

    Thinking Aloud Kwa Maslahi ya Taifa: Ikitokea Umeitwa Mbele ya Tume ya Jaji Chande, Je Utatoa Ushirikiano?, Na Ukifika Mbele ya Tume, Utoe Hoja Gani?

    Nina akili timamu, siwezi kushirikiana na tume HARAMU, yenye wajumbe HARAMU na wanafiki na iliyoundwa na na mtu HARAMU.
Back
Top Bottom