Waajemi wa Buza poleni sana!
Kwamba hata hantambui kuwa hiyo clip ni AI....?!
Na kinachoongelewa hapo ingekuwa na ukweli ingemaanisha kuwa hiyo taarifa ni ya miaka ya nyuma, siyo sasa!
President Biden successor?!
Hujajisifu huku unajisifu?! Ila hakuna kosa kwenye kujisifia komaa na masifa tu! Watu wamefurahia waziwazi mauaji ya October, watawala wamejitapa na kuyadogosha kama vile ni kitu cha kawaida!iweje leo watu kufurahia kuuliwa kwa huyo muirani iwe ajabu kwako?!
Subirini tu ifike siku ya hao wauaji...
Pole sana, babu yangu ana miaka 78 sasa.
Ninatamani niulize mengi lakini nisikuchoshe. Samuya alitamka 'kifo ni kifo' sijui kama ulikimbizana kuja humu kulalamika! Baada ya wauaji kuua mamia ya watanganyika tarehe 29 October na kuendelea, hapa JF kumeibuka wafuasi wa wauaji wakikejeli na...
Pole sana mzee! Nimeuliza maswali mawili hapo, hujajibu swali la pili! Lakini pia ungetumia ile akili unayodai kwenye mada hii kuwa siyo tu akili ya kuvukia barabara, ungetambua kuwa hizo video mbili yaani hiyo uliyoweka hapo kama kunijibu na ile ya uzi huu hazina mfanano wowote.
Kwa hiyo babu...
Msaada jamani! Aliye na alichosema huyu babu kuhusu mauaji ya tarehe 29-31 October naomba ayaweke hapa
Na aliye na alichosema kuhusu wale viumbe wanaoyafurahia wazi hapa JF mauaji yale ya watanganyika akiweke hapa tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.