Recent content by hyuvakuul

  1. H

    JamiiForums Tanzania Baada ya Tulia kutumika, mumewe boss wa Ewura naye apigwa chini

    Na bado
  2. H

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kuwa serikali yetu haishauriki kwa kiasi hiki, au Fr. Kitima unafanya siasa?

    Mnaojua kushauri vizuri mmezuiwa na nani kuwashauri hao wauaji?! Mtawala yeyote asiyestahimili kukosolewa hafai. Kama hawaheshimu wala kujali ushauri wa hata tume wanazoziunda wenyewe mnategemea nini?! Acheni kujificha kwenye michanga! Hawa wauaji hawana nia njema na Tanganyika .
  3. H

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta duniani na mustakabali wa Nishati Tanzania. Njia za kujenga uchumi imara na endelevu

    Kwani lazima mafuta kutoka uarabuni?! Angola, Namibia hapo jirani tu wanachimba mafuta, Equatorial Guinea, Sudan Kusini wana mafuta shazi....hizi mbwembwe zenu za kipuuzi pelekeni kwa wajinga
  4. H

    JamiiForums Tanzania Jinsi Dar es Salaam itakavyokuwa mwaka 2036 kwa mujibu wa Gemini

    Hawa wauaji wakiwa madarakani?!
  5. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

    Hapa ndipo mnabugi big time! Yaani mambo mengine yote kwenye maisha: kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea, kula, kunywa, kusoma, kuandika, fani zote...ufundishwe na waliokuzidi umri. Ila ikifika kwenye jambo muhimu kabisa tamu la kiasili, mnaanza drama eti date wa umri wako! Nyie vipi?!😳😳😳 Ndiyo...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Jitihada zifanyike kuhakikisha mfumo wa kupokezana urais uwe kwa zamu ya Mtanzania Bara na Mzanzibar, hii itadumisha zaidi muungano

    Mtanzania bara ni mtu wa aina gani?! Sisi wengine hatutaki huo upumbavu unaoitwa muungano.....na kifuatacho ni kuufutilia mbali.
  7. H

    JamiiForums Tanzania Chongolo: Jana Lukuvi alienda hospitali, kisha akarudi kazini

    Walipouwa maelfu ya watanganyika hawakusikitika, anakufa panya mmoja ndani ya ccm wanaanza makelele! Hivi wanajielewa hawa?!
  8. H

    JamiiForums Tanzania Chongolo: Jana Lukuvi alienda hospitali, kisha akarudi kazini

    Walipouwa maelfu ya watanganyika hawakusikitika, anakuga panya mmoja ndani ya ccm wanaanza makelele! Hivi wanajielewa hawa?!
  9. H

    JamiiForums Tanzania Tujiandae na 'lock down' nyingine kubwa

    Hebu tuyawahi Mafuta ya Sudan Kusini.....na yale ya Uganda!
  10. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana nisikilizeni, mwanaume wa ukweli hakai ukweni.

    Hebu watu wa Lindi, Mtwara nk waje hapa wajieleze....
  11. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaopenda kulambwa mnatukosea sana

    Ile inayotoboa chupi za wanawake ni tindikali au vinena?!
  12. H

    JamiiForums Tanzania Iran Kisha Fanya Majaribio ya Nuclear

    Waajemi wa Buza poleni sana! Kwamba hata hantambui kuwa hiyo clip ni AI....?! Na kinachoongelewa hapo ingekuwa na ukweli ingemaanisha kuwa hiyo taarifa ni ya miaka ya nyuma, siyo sasa! President Biden successor?!
  13. H

    JamiiForums Tanzania Tume ya Chande imekataliwa karibu na Jumuiya zote za kimataifa, hakuna atakayeamini matokeo yake

    Halafu huyo chande ameshindwa hata kuutambua huo ukweli akajitoa! Hao viumbe wanaokuzwa na kuzoeshwa unafiki ni shiiiida!
  14. H

    JamiiForums Tanzania Wayahudi Hawakuogopa Kumuua Yesu Kristo Mtoto wa Mungu Wataogopa Kumuua Khamenei?

    Hujajisifu huku unajisifu?! Ila hakuna kosa kwenye kujisifia komaa na masifa tu! Watu wamefurahia waziwazi mauaji ya October, watawala wamejitapa na kuyadogosha kama vile ni kitu cha kawaida!iweje leo watu kufurahia kuuliwa kwa huyo muirani iwe ajabu kwako?! Subirini tu ifike siku ya hao wauaji...
Back
Top Bottom