Recent content by hyperbolic

  1. hyperbolic

    Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

    Siungi mkono suala hilo, Rwanda wana mambo ya kiwaki sana
  2. hyperbolic

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) mbona tunaongezeana deni kila mwezi, shida nini?

    Mi mwenyewe nimeangalia salary slip ya mwezi wa pili nimekuta limeongezeka badala ya kupungua, na hakuna ufafanuzi wowote ambao bodi wametoa
  3. hyperbolic

    Walimu sita wanalazimika kufundisha zaidi ya Wanafunzi 700 Sekondari ya Mwabusalu-Meatu

    Hapo kwenye kutaja majina nahisi kama haijakaa sawa, japo una hoja nzuri
  4. hyperbolic

    Nyoka Koboko au Black Mamba

    [emoji3][emoji3] nouma Sana, kwamba ni show show yaani
  5. hyperbolic

    Serikali imefuta pia adhabu ya 10% inayotozwa na Bodi ya Mikopo kwa wanaochelewa kulipa deni

    Hata mi ndilo swali ninalojiuliza, na je wale ambao wameshaanza kulipa tayari,deni lao litapunguzwa katika mfumo upi?
  6. hyperbolic

    Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

    Zig zag graph[emoji3]
  7. hyperbolic

    GE2020 Nani mkweli kati ya hawa watu? Spika, NEC au CHADEMA?

    Hivi kweli eti Ndugai leo amegeuka kuwa mtetezi wa wabunge wa CHADEMA? najaribu tu kuwaza
  8. hyperbolic

    Zitto: Mapato ya mwezi Mei hayatoshi kulipa mishahara, Serikali imeamua kukubali kulipwa USD mil 100 ya Acacia na iliyosalia kwa awamu hadi miaka 5

    Si huwa tunaambiwa nchi ina akiba ya fedha ya kutosha jamani, imekuwaje tena? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. hyperbolic

    Tangu hotuba ya Magufuli Chato mbele ya wakuu wa Vyombo vya Dola msitegemee kutangaziwa wagonjwa wapya wa COVID 19

    Sasa hivi watakuwa wanatangazwa waliopona tu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. hyperbolic

    Dunia imepumzika, Usawa umerudi, Afrika imeshangaza Corona itaondoka kama ilivyokuja.. Bila tiba wala kinga

    Mapema Sana kuanza kusema hayo brother Mungu atunusuru tu! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. hyperbolic

    Rwanda confirms 1st Corona Virus case

    Bila Shaka hata Tanzania tayari ugonjwa upo, sema tu kwamba hatujamgundua bado aliyenao Sent using Jamii Forums mobile app
  12. hyperbolic

    Mwambieni yule dogo aliechezea simba kutembea na mke wangu, Stamina hold on pls

    Hivi mwanaume machine kaimba Stamina, basi sawa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. hyperbolic

    Deni la Taifa lafikia Trilioni 55, huku tukijenga miradi kwa fedha za ndani

    Tanzania ni nchi tajiri, afu deni linakuwa kwa speed mwanga, maajabu ya dunia Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom