Pamoja na kwamba hata hao waliopata hawawezi kunisaidia chochote hence kila kitu kinaamriwa kutoka huko "juu"
Na kuwa wapo tu kutimiza takwa la kikatiba, ila sote tulishuhudia nchi ilikwenda tu fresh Bila wao.
Kipekee siwezi kuwa mnafki nimefurahi wafuatao kukosa uwaziri maana tungeringishiwa mpaka Basi.
1. Gwajima (Rashidi)
2. Gambo
3. Kigwangala
4. Makonda
Kiasi nimejisikia afadhali.
Na kuwa wapo tu kutimiza takwa la kikatiba, ila sote tulishuhudia nchi ilikwenda tu fresh Bila wao.
Kipekee siwezi kuwa mnafki nimefurahi wafuatao kukosa uwaziri maana tungeringishiwa mpaka Basi.
1. Gwajima (Rashidi)
2. Gambo
3. Kigwangala
4. Makonda
Kiasi nimejisikia afadhali.