Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 7,516
- 12,648
No no no no big no asee hii ni chai....🤣🤣🤣ana speed ya mwanga uyo mdudu,,
No no no no big no asee hii ni chai....🤣🤣🤣ana speed ya mwanga uyo mdudu,,
Ndo maana ake...na huo ushindi ni " Kiss of death " kwako wewe uliyepanga nae ngumikwa hiyo mpaka mshindi apatikane??

Na huo unyasi anaupenda balaa! Kwa yule anayelima hapo kwenye shamba hata mdhuru ila aingie mwingine hapo shamban ndio atasikia mziki wakeMikwara yake ya kusimamia mkia kichwa kidogo macho mekundu makubwa utafiki katoka kula ule unyasi Fulani yaani ni balaa
Hii njia ya kondoo imekaaje mkuu?Dawa nyingine chukua kundi la kondoo wengi waswage uwapitishe alipo atagonga mmoja tu na kuishiwa sumu na mnamuua Sasa bila shida,ila ukubali kupeteza kondoo mmoja.
Mi nakwambia ukweli....kijijini kwetu koboko wamejaa ka mchangaIla Sasa mkuu umeanza kutoka kwenye uhalisia unaanza comedian Sasa nimecheka mno![]()
Utaishia kufa tukama ni hivo inabidi ukijua unapiata anga zake na wewe uvute bangi ili yeye akijiona koboko we ujione anaconda au nazingua![]()
We jamaa unahisi mi natania eeh
Ukikimbia anakufukuza, na huwezi kumzidi mbio huwa anataka mzipange ngumi sio eti ukimbie
Yaan yeye anapenda ugomvi kuliko kula
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

nouma Sana, kwamba ni show show yaaniMkuu uko very correct....nimehisi kitu kama hiki baada ya kuona hiyo pichaHiyo ni habari nyengine,akikuuma uka-survive unabaki na mtindio wa ubongo (unakuwa taahira).
Huyo jamaa yupo barabarani may be kamkuta kagongwa na gari (ndo kinachouwa zaidi jamii ya hawa nyoka kutokana na ukorofi wao kujifanya wanapigana na kila kiumbe) so kaona atafute ujiko kuwa kamuuwa yeye.


awee mkuu usiseme hivo kuna vijamaa ni vibishiMkuu uko very correct....nimehisi kitu kama hiki baada ya kuona hiyo picha
Huyo koboko aliyebebwa hapo ni mkubwa sana, hicho kijamaa hakina uwezo wa kumuua hata chembe
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app



Kwa mashamba ya mmea kule maporini na akiotea kwenye pita pita zake ndio inakuwa eneo lake la mara kwa mara mpaka mwenye shamba atamjuahivi ni kweli hua anakaa kwenye mashamba ya bangi??
inabidi tujaribu mkuuu?Mbona anaonekana ni mrefu sana, watu wanavyodai anasimamia mkia, akisimama c anakumzidi binadam kama mara 2, ni ngumu sana kupambana nae, sijajua kama ukikutana nae af ww ukatulia tu bila kujitingisha atakudhuru? au ataona huhitaj ugomvi atakuacha na kuondoka
Watu wengi waliokutana nae wakatulia wakasali sala zao mwisho wameokoka hakuwagusa, ila ukijifanya we ni mwamba, unakimbia huku unapiga makelele...ni anakukimbiza huku anakugonga double double mpaka unageuka rangi ya chungwaMbona anaonekana ni mrefu sana, watu wanavyodai anasimamia mkia, akisimama c anakumzidi binadam kama mara 2, ni ngumu sana kupambana nae, sijajua kama ukikutana nae af ww ukatulia tu bila kujitingisha atakudhuru? au ataona huhitaj ugomvi atakuacha na kuondoka
Pia siafu mahali walipo n lazima ahameHiyo ni habari nyengine,akikuuma uka-survive unabaki na mtindio wa ubongo (unakuwa taahira).
Huyo jamaa yupo barabarani may be kamkuta kagongwa na gari (ndo kinachouwa zaidi jamii ya hawa nyoka kutokana na ukorofi wao kujifanya wanapigana na kila kiumbe) so kaona atafute ujiko kuwa kamuuwa yeye.
Basi huyu mdudu atakua hafai kwa ukorofiMi nakwambia ukweli....kijijini kwetu koboko wamejaa ka mchanga
Nikianza kuhesabu watu aliowaua sina hata idadi..