Recent content by Huyu Ndiye

  1. H

    JamiiForums Tanzania HUDUMA YA MAOMBI

    Andaa laki 4 hivi, kuna "NABII" yupo pale riverside Ubungo, utaambiwa hiyo pesa inahusisha kununus mayai kadhaa, chumvi, mafuta nk., na maombi. Jiandae upewe coordinates
  2. H

    JamiiForums Tanzania Kushuhudia mazishi yako ndotoni

    Ndoto zote za kuota umekufa, upo kwenye jeneza, unaoshwa huwa hazina mwisho mzuri kwa muotaji, kiafya, kiuchumi na maisha kwa ujumla, na dalili utaanza kuziona mapema au utapata pigo la ghafla bila kuona dalili. Kuna mtu aliwahi kuota ndoto ya namna hiyo, alikuja kupata ajali na kumpa ulemavu...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Kushuhudia mazishi yako ndotoni

    Dini gani wewe? Na upo Mkoa gani?
  4. H

    JamiiForums Tanzania Habari za Udukuzi.....

    Dogoli kinyamkela eti kweli?
  5. H

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Nasikia hadi Vyuo Vikuu walikuwa wanapokelea dirishani miaka ya nyuma huko. Sasa mtu yupo shule ndani huko, anaenda kupokea mshahara Bomani zaidi ya km 300 hadi 400, na wapo wengi, na usafiri shida.
  6. H

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Kuna mtu ameandika hapo, Msimbazi Polisi waliwahi kuibiwa pesa, ilikuwa faini ya barabarani?
  7. H

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Mkuu, vifo vya kufa mtu mmoja kwenye tukio la watu wengi huwa lina maswali mengi sana
  8. H

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Bora yeye hata hakuua mtu. Kuna jirani yetu mmoja aliolewa na wale jamaa wa Kaki, kumbe yule Mkaki alikuwa na kazi zaidi ya moja, halali na haramu. Wakazama sehenu na wenzake, kuiba, taarifa ikawafikia wana ngunguri, wakaenda, walipigwa pyu pyu hata maji hawakuomba. Kuja kuwatizama, kumbe...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Cashless economy ni nzuri sana, imepunguza ujambazi wa silaha kwa asilimia kubwa sana. Enzi za yule Bwana wa ngunguri, ilikuwa kuvamiwa na majambazi dakika tu. Changamoto sasa imekuwa, wizi wa kimtandao, hawa wanaofanya hivi wengi ni wale wavaa tai kwenye hizo taasisi.
  10. H

    JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini ndoa za kanisani (kikristu) na msikitini (kiislamu) huwa hazidumu

    Ndoa kuvunjika mapema, wanandoa au mwanandoa watarajiwa kufa kabla ya muda kidogo ya kufunga ndoa au baada ya muda kidogo, au wanandoa mambo yao kuvurugika baada ya ndoa, sababu huwa ipo kiroho zaidi kuliko kimwili. Wazee wetu walituficha mambo mengi sana.
  11. H

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Kuna mtu kaniambia hapa, Jamaa kwanza alikuwa sukari ya warembo, wale wadada wa evening program, Form Six 2003- EGM, mpole sana. Nazidi kusimuliwa hapa, wale majambazi walivamia usiku kama wa saa moja hadi saa 4 usiku wakitokea pori la kambini kwa bakabaka. Naambiwa, zamani mshahara ulikuwa...
  12. H

    JamiiForums Tanzania Sheikh anatoa ya rohoni, kuhusu yanayojiri Tanzania na yatakayotokea. Kuna msiba wa mzito utatokea ASAP

    Hawa Mabeberu wadogo hawatutakii mema. Kuna kabeberu kengine kapo Nigeria, nako kamesema maneno yanayofanana na haya. Washindwe kabisa
  13. H

    JamiiForums Tanzania Kwa nini miujiza ya Mwamposa inapingwa na kudhihakiwa na watu wa Imani nyingine?

    Wivu tu, mfano, kuna mtu mmoja anaitwa Mazinge, mara kadhaa, huwa anamshambulia sana Mwamposa kwa kumtaja. Mwamposa yupo kimya, hajibu. Kama ni rahisi kukusanya na kuibia watu, na wao wafanye. Waache wivu. Haiwezekani akakusanya kile kijiji, na kusiwe na kitu tofauti,, na ni miaka yote...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Bosi Meneja umeandika mkeka mrefu, inaonekana bado una maumivu, lile jambo ulilolifanya linakunyima raha. Nakushauri ufanye toba, lile jambo ulilofanya litakusumbua sana, makosa ya mke wako na huyo jamaa, hayakukupa uhalali wa wewe kufanya hilo jambo. Laana hiyo umeingiza kwenye kizazi chalo...
  15. H

    JamiiForums Tanzania KERO Mitaa ya Kariakoo (Mkunguni, Tandamti, Sikukuu, Congo) maji taka ya chemba yamesambaa, si salama kwa afya

    Mfumo wa Maji Taka ni wa muda mrefu tangu wakati wa Mjerumani. Kuna umuhimu wa kuufanyia maboresho.
Back
Top Bottom