Recent content by Huyu Ndiye

  1. H

    JamiiForums Tanzania “MWIGULU HAPENYI 2030” — Kuna nini kinawatisha?

    Hata kwenye Ulimwengu wa Roho inaonekana ishaidhinishwa, mbadala wake yupo. Imebaki kutumia katika Ulimwengu wa Mwili.. Kuna RC mmoja, sasa huyu sio Mbunge kabisa, Atagombea? Ngoja tuone inawezekaje, siku hizi kila kitu kinawezekana. Dogoli kinyamkela kama hujaona hii, nakupa taarifa
  2. H

    JamiiForums Tanzania Kama ni ujumbe wa kitisho basi tumtie moyo na kumuombea Siha njema...kazi hii inayo majaribu mengi sana

    Je, wewe ni yule "Nabii" wa pale Morogoro, mnafanana maongezi yenu. Ana video yake ina maneno yanayofanana na maandishi yako. Soma Kitabu cha Ayubu 14:1-6
  3. H

    JamiiForums Tanzania Mohammed Kawaida: Mliona tulichokifanya, mwingine ajifanye mkubwa kuliko CCM aone

    Dogo wa Kizanzibar keshaona hapo ndio pakutokea., nitoke vipi
  4. H

    JamiiForums Tanzania Mjusi katika tafsiri ya kiroho na ulimwengu wa giza

    Nenda mtaa wa Nyamwezi, Kariakoo katika maduka ya dawa za Kisuna, au Ilala Bungoni, mtaa wa Sharifu Shamba, nyumba namba 3. Namba za Simu/Oda: +255 710 400 200
  5. H

    JamiiForums Tanzania Mjusi katika tafsiri ya kiroho na ulimwengu wa giza

    Hakikisha unapata OG, sio feki. Unatoka India huko.
  6. H

    JamiiForums Tanzania Mjusi katika tafsiri ya kiroho na ulimwengu wa giza

    Hassad guard. Ukiskia hadithi zake, unaweza kudhani ni story za Alfa ulela.
  7. H

    JamiiForums Tanzania Mjusi katika tafsiri ya kiroho na ulimwengu wa giza

    Kuna udi fulani wa vijiti, ukiichoma kwenye nyumba au eneo lolote kwa siku kadhaa, hata kama kuna mtu mbaya eneo hilo, lazima akimbie kwa ghafla. Mafuta ya upako na maji ya upako, kuna watu wangu wanayo majumbani mwao, huwaambii kitu, wana ushuhuda nayo. Chumvi ya mawe au ile chumvi ya...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Ni jambo gani baya uliwahi pitia kwenye Maisha Kila ukifikiria jibu linalokuja ni "ndio basi Tena" .Lakini ukalivuka

    Huyu anayekula pesheni ilitakiwa mgawane maumivu.
  9. H

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mzee ukiangalia mshahara utakwama, hao jamaa hata ukiwaona watumishi wake, unaona kuna kheri.
  10. H

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Kuna taasisi zipo hapo umezitaja, ni njaa tupu, kila siku watumishi wanazikimbia. Kuna zingine upo sawa Kuna watu kama NAOT, hujawataja ila hawana njaa.
  11. H

    JamiiForums Tanzania Chama cha Madaktari Tanzania watoa Tamko Juu ya Kukamatwa kwa Dkt. Conrad Agonza Kahyoza

    Serikali itaamua kimya kimya kuhusu watumsihi wake, wote wanae. Tena mmoja ni Bingwa, haitakubali impoteze.
  12. H

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    ZPC anasema Mtuhuniwa alipigwa na Raia baada ya yeye kumshambulia Trafiki, akitoka Hospitali wataanza kumuhoji kwa Kina. Neno kuhojiwa kwa kina ndio shida itaanzua hapo. Hasira hasara
  13. H

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Hapo ndio shida sasa.
  14. H

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Namuonea huruma jamaa kuliko huyo Afande. Atasoma namba zote
Back
Top Bottom