Ndoto zote za kuota umekufa, upo kwenye jeneza, unaoshwa huwa hazina mwisho mzuri kwa muotaji, kiafya, kiuchumi na maisha kwa ujumla, na dalili utaanza kuziona mapema au utapata pigo la ghafla bila kuona dalili.
Kuna mtu aliwahi kuota ndoto ya namna hiyo, alikuja kupata ajali na kumpa ulemavu...