Hata kwenye Ulimwengu wa Roho inaonekana ishaidhinishwa, mbadala wake yupo. Imebaki kutumia katika Ulimwengu wa Mwili..
Kuna RC mmoja, sasa huyu sio Mbunge kabisa, Atagombea? Ngoja tuone inawezekaje, siku hizi kila kitu kinawezekana.
Dogoli kinyamkela kama hujaona hii, nakupa taarifa
Je, wewe ni yule "Nabii" wa pale Morogoro, mnafanana maongezi yenu. Ana video yake ina maneno yanayofanana na maandishi yako.
Soma Kitabu cha Ayubu 14:1-6
Nenda mtaa wa Nyamwezi, Kariakoo katika maduka ya dawa za Kisuna, au Ilala Bungoni, mtaa wa Sharifu Shamba, nyumba namba 3.
Namba za Simu/Oda: +255 710 400 200
Kuna udi fulani wa vijiti, ukiichoma kwenye nyumba au eneo lolote kwa siku kadhaa, hata kama kuna mtu mbaya eneo hilo, lazima akimbie kwa ghafla.
Mafuta ya upako na maji ya upako, kuna watu wangu wanayo majumbani mwao, huwaambii kitu, wana ushuhuda nayo.
Chumvi ya mawe au ile chumvi ya...
Kuna taasisi zipo hapo umezitaja, ni njaa tupu, kila siku watumishi wanazikimbia. Kuna zingine upo sawa
Kuna watu kama NAOT, hujawataja ila hawana njaa.
ZPC anasema Mtuhuniwa alipigwa na Raia baada ya yeye kumshambulia Trafiki, akitoka Hospitali wataanza kumuhoji kwa Kina.
Neno kuhojiwa kwa kina ndio shida itaanzua hapo. Hasira hasara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.