Mkuu acha dharau ndo kwanza inamiezi 3 nimeiokota JanJapan hebu cheki chuma kwa picha G package kama pesa unayo katoe 17 Milion ntanunua Soon tairi zote Mma zilizopo zimekuja na gari.
Mkuu ni bridge stone mbele nyuma dunlop upande wa kushoto na wakulia ni continental ila zote vipara kasoro tyre moja so nikibadisha nikiweka mpya Dunlop au good year iyo kero itaisha
Ola wakulungwa eeeh nimechukua crown ina kama mwezi hivi ila gari inavuma sana nimekagua miguu yote ikosawa itakuwa nini wadau au hizi tairi zilizokuja na gari
Ola hebu nitafsirie hii ndoto kuna mda nilishawahi muota wife na sex nae alafu anatoa madini kwenye haja kubwa kila nikimpelekea moto mfano wa vito vinavong'aa vinamdondoka huko kwenye tigo mpaka leo sjapata jibu nikawa nawaza au kuna mtu anamla tigo huyu msaada mkuu
Moderator futeni huu uzi
1. Hakuna udhibitisho kama jengo liko chini ya kiwango
2. Hakuna udhibitisho kama mmiliki halali ni yeye.
Jamiifroum isiwe chaka la kuaribiana CV za watu yaani hii kama ni chuki na mtu ni sawa na kuchukua picha yake na jengo linalosemekana lake than nichonganishe hii...
Mkuu umenikumbusha mbali sana yaani wamassai wachafu aisee wakifatwa na wamang'ati na yale mafuta yao bora hata wasukumu na mashuka yao meusi unakuta halifuliwi hilo yaani km waganga na wamang'ati. Wamasai Wengine unakuta hata chupi havai wananuka harufu ya ng'ombeng'ombe.
Nimemuelewa vizuri mtoa mada naww km nimfanyakazi wa TRA Lazima utakuwa mzee mwenye chuki na hawa watoto wanao kuja kufanya kazi kama zenu ilo la kutolewa wafanyakazi wote wakongwe haliwezakani huo ni uongo ni sawa nakusema wanaajiriwa madaktari new fresh from school waekwe pale moi bila...
Kijana acha wivu nina dogo yuko huko ameajiriwa mwaka jana TRA sasa ulitaka wakajifunzie wapi hizo kazi nyie ndo mnaotangaza experience 15 years graduater waendelee kuteseka mtaani.
Hizo kazi siwanafanya chini ya wazoefu na wanaelekezwa ndani ya usimamizi maalum kwa miongozo ya sheria za kodi...
Kama mnavyo ona ndugu zetu waliopata ajira TRA hili tangazo ni la ukweli maana mwanzo walisema makao makuu TRA walioitwa kazini wanapaswa kufika leo Wanasema ITA Mikocheni na masharti km yote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.