Recent content by Hujaza Kibaba

  1. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakubwa, hivi nani amewahi kufatilia hawa jamaa wanaitwa megalodon betting tips?
  2. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania PICHA MBAO - Kumbukumbu Zitakazodumu Milele! 🖼️✨

    Mkuu nahitaji A2 ila nina elfu thelasini
  3. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ni mtazamo tu Mechi ya leo haikuwa mbaya, approach ya kocha kwenye mechi ilikuwa ina tija na namuelewa kwa ile lineup aliyoanza nayo kwa sababu margin ilikuwa ndogo sana tofauti ya goli moja ukicheza kidogo tu inabadilika na mlima unakuwa mkubwa zaidi kuupanda ndo maana naona kocha alilenga...
  4. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ngoja tuwacheki liva kwanza huenda na wao wanacheki hiyo mechi
  5. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mazee kutanguliwa kusitublind, mi sikumbuki mara ya mwisho chelsea kutanguliwa hivi back to back na kuwa na spirit ya comeback hadi ushindi, kuna vitu ni zaidi ya mbinu hii fighting spirit, maamuzi sahihi ya sub kwa wakati sahihi credit sana kwa kocha binafsi sichukulii poa
  6. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mzee wa takataka, tatizo matokeo yakiwa kama leo hivi ni kama haupendezwi maana hauji kabisa kuchangia ila matokeo yakiwa kama yalivyokuwa halftime vile ni kama ndo furaha yako nashindwa kuelewa kama ni shabiki kweli wa chama letu pendwa ze blues au huwa unacomment nyakati ambazo una hasira tu...
  7. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Na hiyo ndo fresh wenyewe huwa wanaita nice problems, kocha anaulizwa maswali magumu na performance za wachezaji jambo ambalo ni faida kwa timu, ni sawa na anayeumiza kichwa atavaa nini kutoka kwenye nguo chache alizonazo na yule anayeumiza kichwa atavaa nini kutoka kwenye nguo nyingi tena za...
  8. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Umesahau Palmer anakulaga ubavu wa juu kule kimakaratasi ila anaoperate kama winger ten halafu MG anaoverlap kwenye ile flank rejea mechi ya fainali na paris, najua utauliza kuhusu Neto pengine na toto tundu ila hapo Neto anaweza kuwa kama false 9 au LW toto tundu anaweza ingia badae
  9. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Majirani kutoka london kuna article yenu ya maana sana iliyojaa matumaini msimu huu Channel hiyo hapo wakuu tuongezeke kwa wingi mambo ni balaa Follow the Pinkie Football Universe channel on WhatsApp: Pinkie Football Universe | WhatsApp Channel
  10. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Modern taste of Football Analysis | Uchambuzi wa soka wenye ladha ya kisasa Burudani iliyoje

    Watu wa football ⚽ nazidi kuwakarisha kwenye modern analysis licha ya kuwa hamjacomment ila naona namba zinavyoongezeka karibuni sana ni sanaa ya mpira inayokuja na maarifa beyond mpira🌏
  11. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Modern taste of Football Analysis | Uchambuzi wa soka wenye ladha ya kisasa Burudani iliyoje

    Familia ya mpira⚽️ karibuni kwenye channel yetu ya whatsapp kwa maudhui ya kipekee kwa lugha ya kiswahili Taarifa za mechi lini anacheza nani matokeo yamekuaje unaweza kupata popote ila taarifa zenye ladha na shule nyingi ndani yake ndugu zangu wa football ni hapa🙇 Kipindi hiki cha...
  12. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    We jamaa ni wazi opinions zako zimejaa hisia kuliko uhalisia, hayo majina unayoyaweka kwenye equation hapo ni as if wote wanacheza timu moja kwamba wenzetu wana salah yamal haaland ni kama wanatokea timu moja wakati kwenye hiyo equation jina la palmer linaingia bila ubishi ila hujaliona hilo...
Back
Top Bottom