Recent content by Hubble

  1. Hubble

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Hata Quran inapingana sana. Ukitaka chuki zipo kwenye Quran na Biblia. Ukitaka upendo upo kwenye Quran na Biblia. Ukitaka sayansi ya zamani iliyokosewa ipo. Wagiriki walitabiri urefu wa mzunguko wa dunia (circumference) kabla ya Quran na Biblia. Biblia na Quran zilishindwaje kusema dunia ni...
  2. Hubble

    Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    OP ulichofanya kinaitwa ad hominem fallacy. Umeshambulia character ya mtu, huku umeacha kujibu hoja. Hoja ni Magufuli anakosolewa? Jibu hilo kwanza then character utaiattack baadaye
  3. Hubble

    Hivi ni kwanini wanawake wakizungu wanawapenda na wanapenda kuolewa na wanaume wakimasai?

    Hiyo ni sex tourism. Hao wanawake huja kutalii na husafiri na nyege zao wakijua wakimpata mtu wanampatia. Maisha ya wenzetu hasa ukiwa na kacheo huwa busy sana sometimes wanakosa muda wa kuexplore new relationship. Pia weather inakuwa sio friendly ukikosa boyfriend summer time basi kumpata...
  4. Hubble

    Kwa hali niliyoiona ningekuwa sijaoa nisingeoa

    Mkuu ww mkeo ulimkuta bikira? Mapenzi tu ndo yanakufanya uamini yuko tofauti na wengine. Wako waliomla wakamwacha, na kwenda kuoa uliowaacha ww. History huanzia mlipokutana, msishikilie past
  5. Hubble

    Israel opened masjid Ebrahim as

    Asilimia 99 ya manabii wa kiislam ni wayahudi, lakini wayahudi walikataa mafundisho ya Mtume Mohammad, walimuona muongo. Banu Qurayza jeshi la Muhammad liliua wayahudi watu wazima zaidi ya 800. Kutoelewana na wayahudi kumepelekea aya za chuki kwenye Quran na Hadith sahih dhidi ya wayahudi. Hiyo...
  6. Hubble

    Lema amjibu Sirro sakata la dereva wa Lissu ahoji walinzi wa kwa Lissu, askari polisi wa dr Kamani/Tullia washahojiwa?

    Kwani wanashindwa kutuma mtu wa kumhoji Nairobi. Hela za polisi ni kodi yetu, wao kwa nn wanazionea uchungu kuzitumia mpk Nairobi?! Sirro si analipwa posho kwa kodi zetu akiwa Mtwara. Kipi matumizi muhimu; kwenda Mtwara au kutuma mtu Nairobi kusolve kesi nzito ya mauaji inayotishia mshikamano wa...
  7. Hubble

    ‪Rais Magufuli: Wakuu wa Mikoa wengine jifunzeni kwa Makonda. Tanzanite imeongezeka mara 30... Sijaja kuuza sura!‬

    Ni vizuri zaidi kuliko kuhutubia kwa kuendana na kushangiliwa. Emotions zinaweza kukufanya useme usichotakiwa
  8. Hubble

    ‪Rais Magufuli: Wakuu wa Mikoa wengine jifunzeni kwa Makonda. Tanzanite imeongezeka mara 30... Sijaja kuuza sura!‬

    Sasa meya mzima una two first names za kizungu, Boniface Jacob!!! Why hata hutumii jina la ukoo la kibantu? Wazungu wenyewe wana majina ya ukoo; Bush, Clinton, Mayweather, Trump...
  9. Hubble

    Uhalisia wa Maisha mitaani na story au Mazungumzo JF ni Kaskazini na Kusini

    Ukiwa diaspora, unaweza dhania watu watakufa muda wowote kwa hali ngumu ya maisha. Kila siku hali ngumu, hali ngumu. Tena toka wakati wa JK. Ukifika bongo, ndo kwanza wameongeza magari ya pili, wanaanza story ndefu gari alilipataje kwa bahati
  10. Hubble

    Whites are smarter than blacks

    Nadhani binadamu kiakili wanaendana race zote. Tunatofautiana mazingira, malezi na tamaduni. East Asians ni wazuri wa kukariri, wako poor kwenye executions na maadili pia hawana sana kama wazungu. Mzungu anaweza asiwe super kama kukariri kama muasia, ila ni the best in execution and huwa wako...
  11. Hubble

    Vipi kuishi na mume mkali kupitiliza?

    Jaribu kuangalia nn anapenda Na nn hapendi. Itakuwa personality zenu ziko tofauti na unamboa. Au ww ni mbishi sana au unajiona uko perfect huwezi kukosea. Na usishangae huyo unamwita mkali akikutana na mwingine anaweza kuwa mpole tu sababu huyo mwingine anampatia alivyo
  12. Hubble

    Mahojiano ya Msigwa na Lema KTN: Serikali iongeze msisitizo kwenye somo la Kiingereza

    English native speakers (Americans, Britons, Australians, na wengine) kwa kifupi hawaelewagi kirahisi English zetu za kiafrica sababu ya matamshi. Tungekuwa better off kustick na lugha zetu. Acacia wamkituma mzungu China anajifunza kichina. They can do the same thing na Kiswahili
  13. Hubble

    Mahojiano ya Msigwa na Lema KTN: Serikali iongeze msisitizo kwenye somo la Kiingereza

    Wangeongea kwa kiingereza wasingeelezea vizuri maneno na points zao. Mchina anaongea kichina, mjerumani anaongea kijerumani na mjapani anaongea kijapani. Why tuongee kiingereza wakati vocabulary yetu ndogo sana. Kiswahili ndo utanzania
Back
Top Bottom