Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

Kipele kinakuwasha hapo mahali.
Changia hoja acha kuni quote halafu unaandika matakataka
Pambana na hali yako au vyuma vime
82889f3d13c0b3a5b15cf2251af36950.jpg
dd2975368b11971a5273645ee12c8674.jpg
 
Hata Slaa alishinda 2010, hata Mbowe alishinda 2005, hata Lipumba alishinda 2000 na hata Mrema alishinda 1995
Uchaguzi gani Sasa mlishindwa au Nyie hamjawahi kushindwa?


Pale msipotumia polisi katika uchaguzi ndio upinzani uliposhindwa. Lakini unajaza polisi na majeshi, halafu unasema tumeshindwa, weee wapi na wapi.
 
Amechanganyikiwa na Maisha kipindi kile anawadanganya watu ukienda umevaa Rozali ya Almasi/Dhahabu anakwambia toa hili sanamu halafu anaenda kuziuza.

Kumbumbu ambazo ninanazo zinaonesha Kakobe ni alikua Mineral Smuggler mkubwa Africa.
Umbea
 
Kama nyinyi mkiambiwa Lowassa ni Fisadi hamtaki kusikia kabisa.
Ni kweli...yeye ndiye aliyeiba Bil 73 za ESCROW

Ni yeye ndiye aliyesema Million 10 ni hela ya mboga tu.

Ni yeye ndiye aliyewaita watanzania ni "Malofa tu"

Ni yeye ndiye Mzee wa Vijisenti.

Hahahaha MAFISADI PAPA YAMEJAA HUKUHUKO CCM.
 
Zakharia Kakobe ni Mrundi ambae Wazazi wale walihamia Kigoma kwa Njia haramu Miaka ya 1960 Uhamiaji wafuatilie tumechoka kuishi na Wahamiaji Haramu

Pili Huyu Ana kesi ya kukutwa na fuvu la Binadamu Kanisani kwake Mwenge wakati wa Jk lakin kutokana na kukosekana kwa uwajibikaji wakati wa Kikwete aliachiwa huru bila ya kuhojiwa ipasavyo, Jeshi la Polisi chini ya Jemedari Simon Sirro ifufue huu upelelezi

Kakobe anatafuta kick Kama ya Gwajima kwa kuwa anajua Next Sunday Team Ufipa yote itahamia kwa Kakobe kusikiliza 'Mahubiri' baada ya Gwajima kupoa
kutokana na kukosekana kwa uwajibikaji wakati wa Kikwete

Hahaha...inapendeza sana vijana wa CCM mnakiri kuwa hakukuwa na uwajibikaji wakati wa JK

Daah...kwa nchi yenye miaka 56 ya uhuru? Hii ni zaidi ya HOVYO.

Wabillah Tawfiq.
 
Nimesoma mitandaoni maneno anayosadikiwa kuyasema kiongozi mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) lililopo Mwenge, Askofu Zakaria Kakobe akimsakama Rais Magufuli kwa maneno mazito na kumtaka atubu. Lahaula!

Nimebaki nikijiuliza kati ya Rais Magufuli na Askofu Kakobe nani anatakiwa atubu?!. *Askofu Kakobe anatakiwa aanze kutubu yeye* kwa sababu:-

1. Mwaka 1995 aliwaaminisha Watu kuwa Augustine Mrema atashinda urais na kuingia Ikulu. Kakobe alidai amepewa maono hayo lakini mwisho wa siku Mrema aliangushwa vibaya na Benjamin Mkapa akashinda urais. Kakobe ulishatubu juu ya hili?

2. Kakobe huyu huyu akaibuka tena 2015 akasema Mgombea wa Ukawa, Edward Lowassa atashinda urais lakini akaishia kupata aibu nyingine ya Mgombea wake huyo kushindwa urais. Kakobe hakuwahi kutubu dhambi hii ya kuwadanganya Watanzania.

3. Kakobe aliwahi kuwaambia waumini wake umeme uliopita juu ya kanisa lake hautakaa ufanye kazi. Mpaka kesho umeme huo unafanya kazi. Kakobe alitakiwa aendelee kutubu tu kwa dhambi hii ya kuwadanganya mpaka waumini wake.

4. Kakobe huyu anayemvaa na kumrarua Rais Magufuli kwa maneno makali anatakiwa kuanza kutubu yeye maana ameshindwa kuheshimu mamlaka ya hapa Duniani wakati kwenye kitabu kitakatifu cha Biblia Mwenyezi Mungu amewaagiza Wanadamu kuheshimu mamlaka za hapa Duniani na za Mbinguni lakini huyu anayejiita Askofu Kakobe ameshindwa kulitambua na kuheshimu hili. Kakobe nenda katubu kabisa kwa kushindwa hata kuheshimu mamlaka, kuitii Biblia na kuheshimu agizo la Mwenyezi Mungu.

5. Kakobe huyu huyu anatakiwa atubu kabisa kwa kuanza kuhubiri siasa kanisani tena Madhabahuni (sehemu takatifu) badala ya kuhubiri neno la Mungu, kuhubiri Biblia inasemaje na kumuhubiri Mwenyezi Mungu. Kitendo cha kutelekeza neno la Mungu na kuvaa uanasiasa si tu kuwagawa Waumini wake bali pia ni kutikisa misingi ya amani ambayo imejengwa kwa gharama kubwa za jasho, mateso na kujitoa kwingi kwa Waasisi wetu. Kakobe nenda katubu kwa uchochezi huu.

Askofu Kakobe alitakiwa ajipe muda wa kutosha wa kufikiri juu ya matendo yake na kauli zake kabla ya kuzitoa madhabauni. Alipaswa kujifunza faida na hasara zake.

Askofu Kakobe alitakiwa aendelee kujifunza juu ya mwelekeo wa Tanzania Mpya na mwelekeo wake Mpya kwa sasa. Tanzania mpya ya sasa inayoongozwa na Rais Magufuli haina muda wa siasa za chini ya Mwembe tena.

Kwa Wahubiri wanasiasa kama Kakobe watamuona Magufuli ni tatizo ila kwa Watanzania Wazalendo tunamuona Rais Magufuli ni Mkombozi kwa Taifa letu. Tunamuona Rais Magufuli ndiye Mussa wa Watanzania wetu kwa sasa anayetutoa Misri kwenye mateso, anatuvusha bahari ya Shamu na kutupeleka Kaanani, nchi ya Maziwa na Asali. Daima sisi Watanzania wanyonge tutaendelea kumuunga mkono Rais Magufuli siku zote, nyakati zote.

Naona wameamua kumjibu kakobe.

Source

Breaking news swahili.
Tofautisha kushinda na Kuiba kura.

Hawa huwa hawashindi ila Wanaiba kura.


Watanzania wanajua hilo.
 
Akili ndogo wewe sasa kama fisadi kwanini hamumshtaki???Mahakama za mafisadi zinafanya kazi gani???Na huo ufisadi aliufanya akiwa chama gani
Mimi sikujua kama Lowasa ni fisadi, ila nilipoaminishwa na ushahidi uliotolewa Na Lissu pamoja na mbowe kwenye media angalau ndipo nilianza kuamini,
 
OP ulichofanya kinaitwa ad hominem fallacy. Umeshambulia character ya mtu, huku umeacha kujibu hoja. Hoja ni Magufuli anakosolewa? Jibu hilo kwanza then character utaiattack baadaye
 
Sasa wanasema Kakobe ndio anatakiwa atubu, halafu wanajikuta hana kashfa.

Sababu moja kubwa ya kuheshimiwa na kusikilizwa kwa watu kama Zakaria Kakobe, Tundu Lissu, Joseph Warioba, n.k. ni kwamba wao wenyewe wanajibeba kwa taadhima na utauwa, their rhetoric in public life is in lock step with their personal lives, no personal scandals.

Viongozi wetu wakuu wa nchi wana ma personal failings kibao, mara mwingine ana mchepuko wake kauuzia nyumba ya serikali, mara sijui kazaa na shemeji yake, mara kamuingiza mdogo wake kwenye ajira ya wiki nane kamuuzia nyumba ya serikali... Huwezi kusikia Askofu Kakobe sijui ame divert funds za kanisa, sijui kazaa na mwanakwaya... Not ever! Ndio maana Kakobe akifunguka nchi inatikisika, such a distinguished statesman.
 
Naomba kufahamishwa kosa kubwa la Baba Askofu Kakobe.Viongozi wengi Wa kidini wametoa matamko mbalimbali lakini anateshambuliwa ni Askofu Kakombe je amekosa nini?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kakobe mjuaji,...kiukwel,nmeamua kukaa mbal na wa tz ignorant kabsaa,nadirik kutukana hvyo..aaw Yes i v said it..kipind kile,awww,"tena kwa kubana pua,tunataka kiongoz ngangar etc"sasa kiongoz ngangar tumepata,.mnaanza kulia lia,mnataka afanyeje,..siasa za vyama vingi si kelele mwaka mzima,ni calculated arguments,..sasa huyu mzee we mwache,naona anataka kuzeeka vbaya
Aluekuambia huyu Ni ngangati nani?ngangari anaengalia nani size yake amnyee..akikuta Maji maregu anasema sijaja kufukua makaburi.hahah sasa kama ngangari kwanini muoga WA kufukua makaburi?tushukuru Mungu ufisadi WA lowasa kafanya kwa akili kubwa vingenevyo angekoma..nasema hivo maana mnamtamani balaa hadi mnajilamba..na bahati kila akisema amguse anakuta lazima waingie kwenye kaburi la jk na ngangari Ni muoga WA makaburi..
 
Amechanganyikiwa na Maisha kipindi kile anawadanganya watu ukienda umevaa Rozali ya Almasi/Dhahabu anakwambia toa hili sanamu halafu anaenda kuziuza.

Kumbumbu ambazo ninanazo zinaonesha Kakobe ni alikua Mineral Smuggler mkubwa Africa.

alianza kwanza kuburn cd za waimbaji wa miziki na kuuza kariakoo
 
Nitakapo wasikia bakwata ndio nitaamini magufuri raisi wa ovyo lakini Hawa maaskofu matumbo sina imani nayo kabisa
Vijikanisa vyenye waumini wanaotafuta kuzalishwa, wanaotafuta vyeti, wanaotafuta mali. Vijikanisa vya nyimbo na uponyaji.
 
Back
Top Bottom