Mhe. Lissu,
Kwanza pole sana kwa kazi ngumu ya kampeni unayoendelea kuifanya.
Nimesikiliza na kutizama kampeni zako zote nchi nzima kupitia Youtube, bila kukosa hata siku moja na nimefurahishwa sana na uwezo wako mkubwa wa kujenga hoja, kueleza sera na ilani ya chama chako kwa ufasaha sana...
Mashoga wamekuzuia nini wewe, si wanafanya faragha mambo yao na tushawakataza kujionesha hadharani...una tatizo gani nao??
Kama unaona wivu wanafaidi, jiunge nao basi - hakuna atakaekukataza kufunguliwa mtaro
Toeni majibu, acheni referrals ....au hizo info ni siri kubwa za nchi?! Wekeni taarifa hizo mtandaoni, mna website badala ya kuitumia wateja tujihudumie mnaweka vitu visivyoeleweka.
Unadhani sijui ofisi za Tanesco zilipo? Au hilo li namba lenu la customer care mnahisi sijui namna ya kuipata...
Hbr wadau,
Kwa anaefahamu namna ya kutumia luku ya jirani kuweka umeme naomba anijuze. Hizi luku mpya portable za TANESCO zinaruhusu hiyo kitu, kwa anaefahamu anisaidie
Ahsante
Hii kitu pia nimewahi kusikia, sijui kama ni kweli. Ati ukiwa good boy unakua sio adventurous
Rafiki yangu mmoja mdada amewahi nishambulia kua I'm too kind, too reasonable. Sasa vitu vingine ni mtu unazaliwa hivyo, nikamuuliza nianze kua bandidu, aggressive to everything akakataa kua my kids...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.