Recent content by hoziry

  1. H

    Ngorongoro inaangamia, tuache Siasa kwenye ukweli

    Kwa mtazamo wangu ili kuilinda na kuidumisha ngorongoro ufanyike udhibiti wa kuzuwia ongezeko la jamii ya masai na mifugo yao kwa kuwahamishia maeneo mengine ya nchi pili iangaliwe kwa marejeo idadi ya masai na mifugo waliokuwepo wakati ngorongoro inaanzishwa ili ziada ihamishwe na kuzuwia...
  2. H

    Kalemani arudishwe Wizara ya Nishati

    Au ndio kusema kundi linaloshika mpini hawataki kusikia wala kuiona Tanzania ya viwanda japo vidogo vidogo kama kusaga nafaka kuunga vyuma uchapaji utengenezaji wa barafu au kwa kuwa wanajua kama ikianzishwa miradi ya kuuza solar na majenereta lazima wauze?
  3. H

    CCM imempa Mbowe nguvu isiyokuwa na mfano

    Kama angekuwa siyo mchaga hivi wachaga wana nini hata inachukuliwa kuwa Mbowe kwa kuwa ni Mchaga hastaili kupewa nchi
  4. H

    Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022

    Naomba kuongeza neno uozo mkubwa kuna wanaokalia nafasi kwenye taasisi kwa thamani ya elimu isiyokidhi haja
  5. H

    Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022

    Upo sahii ila jambo hilo limepitwa na wakati mvua imenyesha kila palipovuja pamejulikana muda si mrefu maduka yatauza mabati na musumari mafundi wataingia kazini kupaua kila nyumba iliyovuja ni suala la muda tusibiri tuone
  6. H

    Ndoa inaelekea kunishinda

    Tambua hata wewe kwa huyo mume ni mchepuko ulichowazidi wengine ni kutangulia kugundua anachepuka usishangae akibanwa upande wa pili na wewe ukaambiwa samahani nilikuwa nimeoa kabla sijaoana na wewe
  7. H

    Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

    Ni chanzo kimojawapo cha hasara kuliko faida kwa sasa labuda miaka mingi ijayo kitanufaisha
  8. H

    SIMBA VS DAR CITY wachezaji wa simba wamechangamka kuliko mechi ya KAGERA

    Kwa mtazamo huo ni wazi kuna tatizo la siri baina ya kocha mkuu,msaididizi na wachezaji pia ilikuwep habari kuwa wachezaji wanamuhitji yule kocha wa viongo aliyefukuzwa
  9. H

    Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022

    Vita ya waaminifu wa uongo na waaminifu wa ukweli,giza na nuru,uongo haujawahi kuushinda ukweli wala giza kuishinda nuru bado kitambo kidogo mwenye haki atashangilia
  10. H

    Mpira ni strategy and plan ila Pablo hana

    Penye moshi kuna moto siyo bure kuna jambo lipo simba tusubiri kwani vyungu vimeanza kutokota muda si mrefu vitapakuliwa
  11. H

    Kiundwe chombo huru cha kusimamia Jeshi la Polisi

    Kama mtu anapobambikiwa kesi na kucheleweshwa kupelekwa mahakamani ama mtu kupigwa na kufia kituo cha polisi ama inapotukia mtu kurushiana risasi na polisi ni nani wakuchunguza na kusema jeshi lipo sahii au limekosea jinsi gani raia anaweza kujiponya kwenye uonevu kama huo
  12. H

    Kwanini viongozi wa vyama vingine vya upinzani hawasumbuliwi kama Mbowe

    Mbowe bado ni mpinzani kuna ambao wapo nyuma yake na wengine ni walaji wa ruzuku
  13. H

    Kwanini viongozi wa vyama vingine vya upinzani hawasumbuliwi kama Mbowe

    Washindanapo wawili anaeshindwa huwa mtumwa ashindae hutwala Mbowe hajakubali kushindwa
Back
Top Bottom