Magazeti ya Bongo bhana! Kaazi kweli kweli!Mlisema kocha ana mfumo wa kushambulia Kama NYUKIView attachment 2096948
Hata nyie mlikaa almost miaka mitano bila ubingwa....it was Yanga vs Azam.Simba wala haiteseki ,ni ishu ya matokeo tu,yanga mlikuwa maskini na miaka 4 bila ubingwa kwasababu hata kusajili mlikuwa mnatembeza bakuli ,ogopa kuwa maskini , Simba inakosa matokeo ikiwa na hela siyo ikiwa maskini . Kuna tofauti kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app