Kalemani arudishwe Wizara ya Nishati

Kalemani arudishwe Wizara ya Nishati

Mkuu nakuunga mkono,japo hata kalemani kipindi anapewa Wizara tulimchana sana hapa JF,kutokana na mgao wa umeme,View attachment 2114454
Tafuta hii thread
Screenshot_20220210-080402.jpg
 
Hawatakusikia wala kujali.

Kundi lililoshika mpini wana malengo yao. Yawe mabaya au mazuri
Au ndio kusema kundi linaloshika mpini hawataki kusikia wala kuiona Tanzania ya viwanda japo vidogo vidogo kama kusaga nafaka kuunga vyuma uchapaji utengenezaji wa barafu au kwa kuwa wanajua kama ikianzishwa miradi ya kuuza solar na majenereta lazima wauze?
 
Huyu aliyepo anaonekana wa mchongo kwa ajili ya kurudisha dili za kipindi kileeee, dowanz, bunju eskroo, iptl and the likes..............mtu ambaye akili yake ipo kutafuta maslahi yake au kufanya ukuwadi wa kimaslahi usitarajie atafanya lolote la maana, bongo tumepigwa tena....
 
Shida ipo kwa binadamu au mitambo?
Kujiongeza mzee mbona tuna muda mrefu hatukutaninna hii kashia ila baada ya kuingia huyu jamaa kadhia ineanza
Sasa hapo ni mitambo au huyu jamaa. Na kama ishu ingekua ni mitambo hata yule aliepita lingetokea tu.
 
Serikali ya wazurulaji watakusikia kweli?
Mama yuko safarini na ataunganisha na nchi nyingine vilevile kama wa awamu ya nne!

Watu wa Pwani safari ni jadi yao.
 
Duh,nina mashaka sana na uelevu wako kwani maneno unayoandika sijui kama yanatoka kwenye kichwa chako,tumemwamini na tumemkabidhi awe jemedari wetu wa kuongoza jahazi hili.Halafu kumbuka pia u-rais ni taasisi si vinginevyo
Amefanya lipi la maana. Anatumia watu kama wewe kumtetea.

Naomba unipe hata kitu kimoja alichofanya kuwasaidia Watanganyika.
 
Amefanya lipi la maana. Anatumia watu kama wewe kumtetea.

Naomba unipe hata kitu kimoja alichofanya kuwasaidia Watanganyika.
Serikali ni pana sana na kazi ya serikali ni kuhudumia wanachi wake, kuna vitu ambavyo huwa matokeo yake yanaonekana moja kwa moja na mengine sio.,kwa maana hiyo usipende sana kuitupia lawama SERIKALI ambayo kiongozi wake ni mh rais SSH.Hebu jiulize ww moyoni mwako unaitendea nini TANZANIA YETU.
 
Uyo makamba namuona Kama msanii sanii flan Kenny HIZI issues
 
Naandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa kwa hali hii inavyoendelea sasa ya kukatika kwa umeme.

Binafsi shughuli zangu zinahitaji uwepo wa umeme kwa 100%.

Wakati wa Kalenani hata ikitokea umene unakatika basi hayazidi masaa matatu na hilo hutokea kwa mwezi mara moja.

Lakini toka aje huyu Waziri mpya binafsi sijaona tija yoyote iliyoletwa nae kwenye wizara hii. Mh. Rais tunaomba utusaidie kufanya mabadiliko uturejeshee Kalemani. Tukishasahau haya mambo ya kukata kwa umeme.

Shughuli zetu zimesimama hatuna tunalolifanya. Mh. tunaomba usikie kilio chetu hii wizara inamfaa yule aliyeondoka.

Huyu aliyepo ungempa wizara ya mazingira sio hii haiwezi.
Kwa rais kama tuliyenaye, Kaleman atateseka. Acha tu wapeani kifamilia
 
Tunatakiwa tubadilike, wawekezaji ktk nishati ya umeme waruhusiwe hili suala la WOGA kila sehemu.kwa kisingizio cha USALAMA imepitwa na wakati kwani NCHI haina askari,intejensia,wananchi, wote wapo sema hii Tanesco ni kichaka cha UPIGAJI fedha over!
 
Naandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa kwa hali hii inavyoendelea sasa ya kukatika kwa umeme.

Binafsi shughuli zangu zinahitaji uwepo wa umeme kwa 100%.

Wakati wa Kalenani hata ikitokea umene unakatika basi hayazidi masaa matatu na hilo hutokea kwa mwezi mara moja.

Lakini toka aje huyu Waziri mpya binafsi sijaona tija yoyote iliyoletwa nae kwenye wizara hii. Mh. Rais tunaomba utusaidie kufanya mabadiliko uturejeshee Kalemani. Tukishasahau haya mambo ya kukata kwa umeme.

Shughuli zetu zimesimama hatuna tunalolifanya. Mh. tunaomba usikie kilio chetu hii wizara inamfaa yule aliyeondoka.

Huyu aliyepo ungempa wizara ya mazingira sio hii haiwezi.
Anafaa akae chatu
 
Back
Top Bottom