ni kweli ndugu yangu unaweza kungangania kitu kumbe si riziki yako lakini mimi nimeshangazwa na kitu kimoja mimi ni mtu wa sheria nilikuwa na vigezo vyote kuanzia umri, fmwaka wa masomo na nilibahatika kuambatanisha vitu vyote hadi transcript yangu cha kushangaza jina langu halijatoka kwa...
Mbona hilo nipashe la leo 3/11/2014 halina habari kama hiyo. Anyway wanaovuruga usaili na baadae kusababisha matokeo ya usaili kutenguliwa hembu wawachukulie hatua bac sio kuwachekea kwa sababu wanarudisha mambo nyuma na kutia hasara
hilo ndo niliotaka kulisikia maana hapa nasoma post huku natetemeka kwa hasira natamani ningelikuwepo hapo nadhani mngebidi mniachie mimi tu nishughulike nae
Kweli kaka ulisema na kuna baadhi ya watu walikuponda. Wao si wanasema katiba yao ya bmk ni bora watulie bac na wao waweke midahalo wateteee katiba yao. Ila paul makonda kanisikitisha sana mpaka nimehisi kulia
Sijui wenzetu huko kwenu hali ikoje sisi huku maeneo ya Tabata tumekatiwa umeme na tunashindwa kufuatilia mdahalo wa katiba wa moja kwa moja kutoka Blue Pearls:angry:
Nimeamini ukisema cha nini wengine wanasema ntakipata lini. Wakati wengine wakipost na kuiponda kazi ya polisi wengine wanauliza na kufuatilia kila siku kujua lini watajiunga na jeshi la polisi. But all in all wote tulifanya maombi na kukidhi vigezo vyote tuwe na subira naamini ni muda mfupi tu...
Hivi vipi kuhusu ile thread iliyosema kuwa inasemekana asilimia 90% ya applicants hawakukizi vigezo ikiwemo
1. Fani zao sio fani zilizotajwa
2. Umri wao kuwa above 25 kama ilivyokuwa inatakiwa
3. Hawajamaliza katika mwaka wa masomo 2013/2014.
Na kulingana na maelezo ya mtoa thread wahusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.