Recent content by Hosee Miguel

  1. Hosee Miguel

    Naombeni ushauri wakuu maana kumtamkia tuachane siwezi ila anazidi kunipa sononeko sana

    Wakuu mwenye ule wimbo wa Juma Nature wenye maneno ya ... Si ulitaka chai iweje ulalamike unaungua..... utupie humu tafadhali!!!
  2. Hosee Miguel

    Huyu kanichosha

    ...and this is where shit always begins! Yeye anapenda mitandao...wewe huku umekuja na ishu ya chumbani kwako ili nini kwa mfano! Viumbe wa zama hizi wote Ke na Me akili zenu pumba tupu wote. Your personal life has nothing to do with public! Mtu mzima wa umri wako kama umeshindwa kufanya...
  3. Hosee Miguel

    Yuko wapi kipenzi cha watanzania Edward Lowassa. Sijamwona msibani

    Wanazengo katika Jamii za Kiafrika na hususan hapa nyumbani mara nyingi matukio ya misiba huunganisha watu bila kujali tofauti zozote zile. Nimesikia na kuliona ni jambo la kufikirisha kuuliza alipo Mzee Wetu Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa kwa kua ni dhahiri udhurio la...
  4. Hosee Miguel

    Nimempa ujauzito mgumba

    Mkuu nawewe hii ka si chai basi tenaa! First date na ukapiga kavuuuuuu???![emoji1436]‍♂️
  5. Hosee Miguel

    Nyumba inahitajika Dar es salaam

    Wakuu salaam kwenu! Nahitaji nyumba ya kupanga kwa kipindi cha mwaka mmoja jijini Dar iwe maeneo ya Sinza, Savei, Mwenge na au Ubungo! Iwe na vyumba vitatu au viwili. Ikiwa inajitegemea ni vizuri zaidi! Mkataba wa upangaji uanze tarehe 1/1/2019 lakini tunaweza kukubaliana malipo yakafanyika...
  6. Hosee Miguel

    Lunch ya kuitiwa na mwanamke imesababisha nitoe pesa ya salooni siamini

    Uhongaji uantegemea na mfuko Mama. Mkuu hapo kiasi alichotoa ndo uwezo wake tena umeona kilivyoumiza moyo....you can imagine ingekua ndo li invoice la nywele zake kitu Peruvian....! Ndukiiiiiiiii[emoji1566]‍♂️[emoji1566]‍♂️[emoji1566]‍♂️[emoji1321]‍♂️[emoji1321]‍♂️[emoji1321]‍♂️
  7. Hosee Miguel

    Sina hamu na wadada wa kizungu

    Hivi humu hayupo Mzee wa Tabora akufyekelee mbaliiii..... So what baada ya stori yako!?
  8. Hosee Miguel

    Kutovaa chupi kuna faida lukuki

    Miss you must be loaded wallahi....
  9. Hosee Miguel

    Kwanini umsomeshe mtoto shule ya wavulana pekee?

    Well said Mkuu. Wenye uelewa wataelewa Wale wadandia magari kwa front watabaki walivyo!!
  10. Hosee Miguel

    Wakuu move linaendelea....

    Muda utaongea hakika!!!!
  11. Hosee Miguel

    Zitto Kabwe: Kamanda Sirro anajua alipo Mohammed Dewji "MO"

    As a country tuna safari ndefu. Only God can help us! But I believe even if we are seems to be fools and equally treated as such....we will not be fools always! Time will tell!!
  12. Hosee Miguel

    Congo Dust

    Copy pasted this to him! Kudos
  13. Hosee Miguel

    Congo Dust

    Ni kweli Jamaa anasema awali alikua anajiweza freshi tu sema ni ile kutaka kuongeza anachokiita ufanisi. Na anasema that thing ametumia si muda mrefu but anaona tofauti...Japo anadai the Vumbi ilimpa heshima viwanjani!
  14. Hosee Miguel

    Congo Dust

    Wakuu nawasalimu, Kuna hiki kitu kinaitwa "Vumbi la Kongo" limeshamiri sana mjini daslam na mikoani as well. Sasa kina Jamaa yangu sijui ni kutaka kukomoa katumia hii kitu lakini sasa hivi analalamika hayupo sawa kiaina na anadhani ni hii kitu. Kwamba nguvu alizokua anaambiwa na supplier wake...
  15. Hosee Miguel

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Wana wa adamu bana... Na ni nani miongoni mwetu alie msafi kumzidi huyo Dada? Sitetei dhambi but sisi nani wa kuhukumu? Hukumu ni ya Mungu pekee.. Bi. Dada rejea kwa Mungu wako na dhambi zako zijapokuwa nyekundu kama damu...yeye ni mwingi wa rehema nae atazifanya kuwa nyeupe kama...
Back
Top Bottom