Kutovaa chupi kuna faida lukuki

Kutovaa chupi kuna faida lukuki

IMG_0797.JPG
 
kwa mtu mnene ni sawa... lakin pia mwanamke na kubleed kule atawezajee
 
Tuoe picha ukiwa ujavaa chp tuone ni jinsi gani umependeza ili wenzako wakuige
 
Hivi kuna watu bado wanavaa chup??i, zaman ilikua nikiwa home ndo sivai nikitoka navaa nilihis aibu labda watu watanigundua ......
Wooii ila sikuhiz sivai kabisaaaaa nahis kubanwa mie

🤢
 
Hivi kuna watu bado wanavaa chup??i, zaman ilikua nikiwa home ndo sivai nikitoka navaa nilihis aibu labda watu watanigundua ......
Wooii ila sikuhiz sivai kabisaaaaa nahis kubanwa mie
Kazi ya chupi ni kuzuia vumbi lisiingie ukeni, kuzibana na kuziweka vizuri korodani,kupunguza kasi ya ushuzi na kuzuia mtarambo usinyanyue suruali hadharani inapotokea umedinda.
 
Kazi ya chupi ni kuzuia vumbi lisiingie ukeni, kuzibana na kuziweka vizuri korodani,kupunguza kasi ya ushuzi na kuzuia mtarambo usinyanyue suruali hadharani inapotokea umedinda.
Hilo vumbi mpaka lipenye kwenye mapaja linatafuta nn hasa ??
Labda nyie wanaume ndo mvae
 
Back
Top Bottom