Kama nchi haijatangaza takwimu zozote maana yake ni kuwa hakuna mabadiliko katika takwimu za awali. Wao wanalazimisha maambukizi mapya na vifo vipya ili iweje?
Yemen Ilikuwa na takwimu za mgonjwa mmoja zaidi ya mwezi, mbona hawaikushutumu?
Tanzania kutokuwa na lockdown kumeathiri nini?
Hawa Watu...
Kuchukua tahadhari ni muhimu, hakuna anayepuuza.
Ila hao watabiri kwanini wanatabiri hali mbaya. Je, hawawezi kushauri katika lugha rafiki mpaka watutishe?
Na si lazima utabiri wao utimie Kama wanavyoona au wanavyopenda.
Mbona Kuna mataifa mengine ambayo si ya Africa na wana case chache za...
Hakika, waziri wa elimu sikia ushauri huu uokoe kizazi Cha watanzania.
Nami nakuomba waziri, mazingira na maisha ya watanzania unayajua. Tafadhali toa tamko shule na vyuo vifungwe angalau kwa mwezi mmoja tu ili mamlaka zingine ziweze kudhibiti huu ugonjwa
Hiyo ya priority course sijui kama inafanya kazi. Mimi mdogo wangu
alisoma engineering na hakupata mkopo.
O' level alisoma private alisomeshwa na shirika na advance alisoma private na alisomeshwa na mtu baada ya kuona ana uwezo darasani Ila hana mtu wa kumsomesha advanced level.
Tatizo la humu Jf watu wanawaza vyama, hata hoja yenye mantiki watu wanafikiria vyama. Hatutaendelea kwa mtindo huu. Kipindi cha nyuma Jf ilikuwa sehemu Makini ya kupata taarifa zenye uhakika na mijadala yenye tija. Siku hizi ni mipasho tu humu.
Kuna mtu anachangia au kuanzisha Mada mpaka...
Uhuru wa kutoa maoni. Hivi watu wa Mbezi, Bunju, Tegeta nk ndiyo wenye umuhimu sana wa kusafiri kwa urahisi kuliko watu wa Kigamboni?. Watu wa Kigamboni wapoteza muda mwingi kwenye foreni wakisubiri kivuko hasa wale wenye magari. Ikitokea kuna mgonjwa (mahututi) anayehitaji huduma ya haraka...
Sawa hamjafilisika. Lipeni kodi sasa. Halafu kuna baadhi ya mabasi yenu yanafanya routes (yanadafirisha abiria) hata vibali vya kusafirisha abiria hayana.
Mpeni muda jamani. Mimi huwa siamini katika vyama, eti fulani kwa vile ni mwanachama wa chama fulani basi atafanya vizuri. Kamwe siamini. Utendaji wa mtu hauzingatii vyama hilo tulielewe. Ila kwa Mnyika naona ni mapema sana Kuanza kumlaumu japo tunaumia. Tumpe muda kwanza tuone kama...
Nilijiandikisha kwa ajili ya kitambulisho cha taifa mwezi oktoba 2012. Nikapiga picha kwa ajili ya kitambulisho mwezi Machi 2013. Nikaambiwa nasubiri mpaka nitakapotumiwa ujumbe na NIDA. Nilisubiri sikupata ujumbe. Mwezi Julai 2015. Nikaanza kufuatilia. Nikaambiwa hawawezi kutrace kitambulisho...
Hongera sana Nassari. Tanzania tunahitaji wabunge wa namna hii. Kuisaidia jamii si kila wakati kuishinikiza serikali. Wabunge, mnapoweza wasaidie wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.