Recent content by HOPE man

  1. HOPE man

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Na muhimu wawe na sifa tu amna namna..hawa psrs hata siwaelewagi kabisa.
  2. HOPE man

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nadhan inawezekana, kwa sababu kila mkataba una conditions zake.
  3. HOPE man

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sidhani kama serikali inaweza kutangaza ajira ilihali haina uhakika wa hela....psrs ndio kikwazo.
  4. HOPE man

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Inawezekana kabisa wanamlalamikia kakini mm na wewe hatujui.
  5. HOPE man

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hapana Psrs ndio kikwazo...mwajiri anahitaji manpower.
  6. HOPE man

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sahihi kabisa cha msingi awe na qualifications.
  7. HOPE man

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    [emoji1787][emoji1787] kwenye hili taifa.
  8. HOPE man

    Job Application FAILED

    Hizi naona tayari wameshafunga maombi.
  9. HOPE man

    Namna ya kuondoa vyeti vya awali ajira portal na kuweka vingine

    Kama umefanikiwa namna ya ku delete Qualification moja wapo nisaidie na mm nina tatizo kama lako.
  10. HOPE man

    Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

    Kwa uzoefu tu, hawa Tamisemi huwa wanachukua mda gani mpaka kutoa majina ya waliofanikiwa kuajiriwa.
Back
Top Bottom