Recent content by HONOURABLE PETER

  1. HONOURABLE PETER

    Mbona kama sielewi wakuu?

    Nenda tawi lolote la bank lililo karibu na wewe Kisha fungua account ya akiba, weka hiyo pesa alaf Rudi chuo soma Kwa bidii huku ukiendelea kutafta biashara ya kufanya. #USIKURUPUKE.
  2. HONOURABLE PETER

    NURSE AND MIDWIFE

    Mimi ni muuguzi na Mkunga ngazi ya diploma niko full registered na nina vyeti vyote original pamoja na experience Kama mdau wa JF kama kituoni kwako kuna nafasi naomba unisanue. Au una connection pls do me favor 🙏🏽 -Mm ni male -Popote nafanya kazi Ahsante kwa ushirikiano wako
  3. HONOURABLE PETER

    Msaada: Jinsi ya kujiunga na chuo cha Polisi

    Kama kuna mtu anaelewa utaratibu wa kujiunga na chuo cha police naomba anipe ufafanuzi wakuu.
  4. HONOURABLE PETER

    Nahitaji kuanzisha duka la vinywaji, naomba mwongozo

    Sorry, ukisema nijitahid kuwa na Sorry, hapo kweny kuwa na kampan inakuwaje? Naomba ufafanuzi kam hutojal
  5. HONOURABLE PETER

    Nahitaji kuanzisha duka la vinywaji, naomba mwongozo

    Wakuu habarini, Nahitaji kufungua duka la vinywaji kama bia, soda, pombe kali baadhi, maji na sigara la rejareja sio kuubwa bali la kawaida tu, naomba muongozo wa wanaofanya hii kwamba naweza anza na kiasi gan, pia mahitaji ni yapi, na kibali chake vipi? Karibuni kwa mawazo
Back
Top Bottom