Recent content by HONOURABLE PETER

  1. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kusajili account za bank

    Ndio, nahitaji
  2. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kusajili account za bank

    Hivi kuwa agent au wakala wa kufungulia watu account za bank ni lazima uwe umesomea uhasibu?
  3. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Bei za TV brands tofauti tofauti tofauti

    Kuna utofauti gani kati ya SMART NA LED?
  4. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu

    Je ni ardhi yeyote inakubali? Au ni baadhi ya mikoa?
  5. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu

    Sahihi, hata hiyo picha niliyopost hapo nimepiga mwezi wa sita. Wanamwagilizia na maendeleo ni mazuri tu
  6. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu

    Tangaza ndugu, atapatikana naamini
  7. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kuiga Biashara: Ukosefu wa Ubunifu?

    Inaruhusiwa?
  8. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu

    Wataalamu wa kilimo cha vitunguu maji naomba uelewa juu ya kilimo hicho maana nimepitapita vijiji vya mkoani Tabora nikakutana na zao hili. Naomba somo, soko na biashara yake ilivyo!
  9. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kuiga Biashara: Ukosefu wa Ubunifu?

    Naam 👋
  10. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kuiga Biashara: Ukosefu wa Ubunifu?

    Je, kuiga na kufanya biashara zinazofanana ni kukosa ubunifu?
  11. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya Nzega DC hatujalipwa pesa ya kujikimu tangu Feb 2025

    Sisi ajira mpya wa wilaya ya Nzega DC tumepewa pesa ya kujikimu tarehe 30/05/2026 kiasi cha Tsh 650,000/= badala ya 150000×7 = 1,050,000/= ukijumlisha na nauli uliyotumia wakati wa kuja kuripoti kazini. Mbaya zaidi viongozi wetu hawasemi chochote juu ya hili, sisi tunashindwa kuelewa tupo njia...
  12. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Mbona kama sielewi wakuu?

    Nenda tawi lolote la bank lililo karibu na wewe Kisha fungua account ya akiba, weka hiyo pesa alaf Rudi chuo soma Kwa bidii huku ukiendelea kutafta biashara ya kufanya. #USIKURUPUKE.
  13. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Ishi kulingana na uwezo wako, usikimbizane na walimwengu

    Uzi Uzi nzuri sana huu
Back
Top Bottom