Recent content by homie baba

  1. homie baba

    JamiiForums Tanzania Nioe m/mke wa nchi gani?

    Kaowe south sudan
  2. homie baba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mume

    K mekuelewa kwa upande wa dini mm nimefail cjui hayo mengne ila ucjali ntakuombea dua utafanikiwa kwa kile unachokiomba na kitakua na kheri na ww
  3. homie baba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mume

    Nimekuelewa dada lkn ningependa kujua zaid short story yako na sifa zaid za mume unaemtaka mfano dini au kabila
  4. homie baba

    JamiiForums Tanzania Wachumba wa South Sudan

    Ss hao ndo wachumba wa kukamata naona wamekaza ile mbaya
  5. homie baba

    JamiiForums Tanzania Magaidi yavamia Sinagogi Israel na kuua watu wanne

    Pale mayahudi walipovamia msikitini hamkuona kama ni magaidi walipouwa wapalestina 3 hawakua magaidi walipomnyonga dereva wa bus hawakua magaidi lkn wameuliwa majushi ndo wamekuwa magaidi Hata bado huo ni mwanzo tu
  6. homie baba

    JamiiForums Tanzania Hakuna hata kiongozi wa Mtaa wa CCM Pemba-Tundu Lisu

    Pemba oyeeee
  7. homie baba

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya Kumuunga mkono Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar

    Vijana, mzee othmani masoud ndie ndie simba dume na anahitaji kuungwa mkono, watz tufanye maandamano kupinga hawa madhalimu akina sheni na kikwete, mungu awapooze miguu na macho hawa waione raha ya dunia
  8. homie baba

    JamiiForums Tanzania Waliopiga HAPANA wajiandae kufukuzwa kazi serikalini

    Mm naona bora tungekua na america tu ulimwengu mzima co kuiondoa znz na tanganyika tu tukapata tz moja, mpotofu ww ulokunywa maji ya bendera ya ccm
  9. homie baba

    JamiiForums Tanzania UKAWA mnchezea shilingi kwenye tundu la choo

    Mm kwa upande wa znz nina asilimia mia kwamba imeshakataliwa hilo balaa ni lenu watanganyika
  10. homie baba

    JamiiForums Tanzania NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

    Sasa mjionee kama hiyo katiba wajiimarisha wao kifedha
  11. homie baba

    JamiiForums Tanzania NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

    Kwa upande wangu na kura ni hapana
  12. homie baba

    JamiiForums Tanzania NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

    Kwanza ningependa mnieleweshe rasimu imesema rais wa znz ndo atakua makamo wa kwnza wa rais wa muungano je kama rais wa muungano katokea znz na huyu makamo wa rais nae atatokea serikali ya znz au ni njama za ccm tu kufanya mzanibari asiwe rais wa muungano ?
  13. homie baba

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri uwanja wa Jamhuri Dodoma: Rais Kikwete kukabidhiwa Rasimu ya Katiba Mpya

    Hongera ccm kwa kunywa damu zetu watanzania :mad:
  14. homie baba

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud afukuzwa kazi, Said Hassan Said apewa nafasi hiyo

    Mh Othman masoud msimamo ni huo huo usirudi nyuma
Back
Top Bottom