Wanajamvi,
Kwa jinsi nilivyofuatilia hotuba ya RAIS wetu mpendwa JK ni wazi kuwa katiba iliopendekezwa inaweza kupatikana kabla hata ya uchaguzi.
Ina maana kuanzia leo tunahesabu siku 84 tupate katiba mpya na hilo nahisi litakuwa hivo kwa sababu wasipofanya hivo itabidi muswada upelekwe bungeni ili kurekebisha masharti yanayosema ipatikane siku 84 baada ya Rais kuipokea.
Hongera Rais na sisi wazalendo tunataka katiba ipatikane mapema.UKAWA imekula kwenu endeleeni kuandamana wakati sisi tunaipigia kura katiba.
Kwa jinsi nilivyofuatilia hotuba ya RAIS wetu mpendwa JK ni wazi kuwa katiba iliopendekezwa inaweza kupatikana kabla hata ya uchaguzi.
Ina maana kuanzia leo tunahesabu siku 84 tupate katiba mpya na hilo nahisi litakuwa hivo kwa sababu wasipofanya hivo itabidi muswada upelekwe bungeni ili kurekebisha masharti yanayosema ipatikane siku 84 baada ya Rais kuipokea.
Hongera Rais na sisi wazalendo tunataka katiba ipatikane mapema.UKAWA imekula kwenu endeleeni kuandamana wakati sisi tunaipigia kura katiba.