kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,998
- 2,414
Wewe ulipata?Mungu akujalie upate mwema
Wewe ulipata?Mungu akujalie upate mwema
Kila mtoto na baba yake. Kama kazi wanatakiwa watu wenye experience of course na katika ndoa wanahitajika pia. Ngoma inogile CC Khatweswali la kizushi.
Jee hao watoto ni wa baba1?
Wakuwache tu mamito, unajiunga na unatafuta mume wala si rafiki au mchumbaSijawahi kujiunga na JF kabla ndio mara yangu ya kwanza kupost kitu chochote, kifupi ni mgeni hapa jamvini na sina account ingine
Unapenda mboooo wewe . Umezaa ila bado tu
Wewe ulipata?
Nimekuelewa dada lkn ningependa kujua zaid short story yako na sifa zaid za mume unaemtaka mfano dini au kabila
Join Date : 21st November 2014
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received 0
Likes Given 0
ungetumia account yako iliyozoeleka
tinna cute huyu ni pacha wako??. All the best dada
we ni flat screen au umefungasha!?? nianzie hapo kwanza
Habarini wadau. Hii ni mara yangu ya kwanza kupost hapa kwenye jamvi nia na madhumuni natafuta mume, mimi ni mwanamke wa miaka 31 naishi arusha nina watoto 2. Natafuta mume kuanzia miaka miaka 35 - 45 itapendeza zaidi na yeye akiwa na watoto, awe serious na awe na uhitaji wa kutulia kwenye maisha ya ndoa, aliye serious aniandikie kwenye email yangu tinnercute@yahoo.com.ili kufahamiana zaidi, Asanteni
That's very mean question? Just respect please and feel other's needs , Thanks!
eeeeenh mbona ye alivoweka vigezo vya umri hujasema mean.... emh huko
Kauze pale sinza kwa siku hela kibao