Nahitaji mzalishaji au msambazaji wa Unga wa sembe tufanye Biashara. Mimi nipo Mtwara, karibu kwa aliye tayari tuwasiliane tufanye kazi pamoja.
Namba yangu 0786841164.
Asante
Salaam nahitaji mawasiliano ya wauzaji wa chaki za shuleni wanaouza kwa bei ya jumla naomba kwa wauzaji au mtu anayefahamu zinako patikana anifahamishe asante
Haya mafunzo watanzania wenzangu yapo kila kona ya Ichi hii na yameanza zamani sana tusubiri madhara yake baada ya muda mfupi wakielezwa ukweli wanasema serikali inawaonea na haiwapendi nachoweza kusema it is too late time will tell
Ni mabadiliko ambayo ya life style ambayo binadamu tunapitia zamani mahitaji kama ya elimu kwa watoto ilikuwa kwa sehemu Kubwa ni jumuku la serikali hakukuwa na ulazima wa mahitaji ya Usafiri nyumba bora yenye kila kitu mahitaji ya mwanamke kama ilivyo sasa anataka aende salon asuke human hair...
Kutokana na ugumu wa maisha wanawake wengi hawawezi kuvumilia akiona hana msaada na mme wake labda mme hayupo tena kazini au biashara imeanguka hapo mwanaume utaisoma namba anaweza vumilia muda mfupi lakini kinachofuata ni kuondoka kwa mapenzi yakiambatana na lugha chafu hakuna heshima hakuna...
Mkuu siyo wanaweke viongozi tu hata hawa wa kawaida huku mtaani wanaaga maiti za wakristo tena wanapenda sana wanaingia mpaka makanisani wanakuja mpaka makaburini yaani mkuu jitahidi sana
Hawa clouds nao wanakuza mambo na kuwatia watu hofu vibaka wa aina hii wapo tu mtaani kila siku serikali na pamoja na wananchi tuwabaini tuwadhibiti hawana lolote wananchi tukiamua tunawafahamu tunawalea na kuwapa majina ya ushindi Rambo scorpion
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.