Mwenyekiti Freeman Mbowe , Mh Edward Lowassa waziri mkuu Mstaafu na Mjumbe wa kamati ,Mh Bulaya, Mayor Ubungo Boniface Jacob na Viongozi Mbali mbali wa Chama akiwepo Mrembo wa Tanzania 2006 watahudhuria Mechi Baina ya Simba Vs Yanga Uwanja wa Taifa. Karibuni tujionee maendeleo ya soka na ligi kuu yetu
Hemed Ally
Mwenezi CHADEMA- TAIFA.
Hemed Ally
Mwenezi CHADEMA- TAIFA.