Usichukue, Hapa kunakitu kinatakiwa "recognition" tu.
Hawa watu walipigia kelele haya yanayofanywa leo miaka mingi, walipuuzwa sana na kuonekana ni wapinzani. Leo wangetambuliwa tu kama watu wazalendo waluopigia kelele uozo huu na bila shaka walishauri Best way ya kujinasua kutoka kwa wakoloni...
Amemaliza kama alivyoanza kubali tu ukweli ili uingie mbinguni kuoka ni lazima.
Ni Yesu pekee aliesema naenda kuwaandalia Mahalia ili nilipo na ninyi muwepo, sio mtume mwingine yeyote
Hili swala la kuwaita watu makapi sio jambo zuri, hata yule alieasisi maneno hayo (makapi, oil chafu) hatuoni akiendelea kuyatumia maana najua alitambua kuwa uliukosea utu wao.
Hata kama mtu hakubaliani na wewe na mwisho akaamua kujitenga na kambi yako bado huo ni uhuru wake wa msingi.
Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.