Aliyewaambia mkitongozwa lazima mpewe hela nani huyo?!!. Ndio mana mtaishia kutumika kila siku, hela yangu nitakupa lakini sharti ukubali nikutumie ninavyotaka.
Mwanamke anayejiheshimu anaomba hela akiwa na shida kweli.
Mimi na mke wangu tuna akaunti moja kwa ajili ya ujenzi, uwekezaji, biasahara etc, ingawa hiyo akaunti ni yangu nilichofanya nimempa kadi akae nayo yeye, kwa hiyo kila mtu akipata visenti anatumbikiza humo.
Kushare akaunti na mume au mke wako sioni kama ni tatizo, provided mnaelewana na mna...
Raisi Kim ni shabiki mkubwa wa basketball , hivyo amekuwa akimualika mara kwa mara best yake Rodman kwenda kutoa mafunzo na hamasa ya mchezo huo kwa vijana wa North Korea.
Ingawa urafiki huo wa Raisi Kim na Dennis Rodman kuna wakati ulizua sintofahamu nyingi ukizingatia tension iliyopo kati ya...
Wali ndo haufai kabisa kuliwa usiku tofauti na mtoa mada anavyojaribu kuwaaminisha watu hapo juu, wali ni aina ya chakula chenye kiasi kikubwa sana cha wanga na digestion yake inachukua muda mrefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.