Kwenu wataalam wa magari naomba msaada wa kubaini chanzo cha miguu ya mbele ya probox kutoa mvumo mkubwa kiasi ikifika speed 80 km/h hata redio huwezi kusikiliza.
Tatizo lilianza mwaka mmoja uliopita tukashauriwa kubadili bearings tulifanya hivyo haikusaidia, kisha tukanunua used nacoz complete...
FOUNDATION ROGRAMME CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA
Tunapenda kuutangazia Umma kuwa, bado tunaendelea kupokea Maombi ya kujiunga na Foundation Programme mpaka tarehe 26/09/2018. FOUNDATION PROGRAME imepewa ithibati na TCU kwa lengo la kuwaongezea sifa wahitimu wa Form Six na Diploma...
Kazi mzuri.
Umetaja bei mbili, Tsh 25,000/= na 40,000/= kutegemeana na aina ya material ulizotumia.
Naomba katika picha ulizotuma ungeziweka katika hayo makundi, i.e. 25,000/= & 40,000/=.
Ni mzuri, tutakupa kazi.
Kila la heri.
Inanyesha mji mzima wa Mtwara. Sina taarifa za maeneo mengine huko wilayani na mkoa jirani wa Lindi.
Mvua ni kubwa hasa na tangu asubuhi jua halijaonekana. Nadhani utabiri wa juzi wa TMA kwa Mtwara umekuwa sahihi kwa asilimia kubwa.
Mungu atatuepusha na yenye kudhuru.
Tangu usiku hadi mchana huu hapa Mtwara kunanyesha mvua kubwa sana ambayo kwa watu waishio kwenye maeneo hatarishi kama mabondeni, kwenye maporomoko, mikondo ya maji na hata nyumba mbovu huenda wakapata madhara makubwa sana.
Naomba tutumie jukwaa hili kujulishana kinachoendelea kwenye eneo lens.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.