Mvua kubwa Mtwara

Mvua kubwa Mtwara

Vp kule kwa miaka yote vp pande za kiangu kumesalimika
 
Tangu usiku hadi mchana huu hapa Mtwara kunanyesha mvua kubwa sana ambayo kwa watu waishio kwenye maeneo hatarishi kama mabondeni, kwenye maporomoko, mikondo ya maji na hata nyumba mbovu huenda wakapata madhara makubwa sana.
Naomba tutumie jukwaa hili kujulishana kinachoendelea kwenye eneo lens.
VIP Pale Nabwada pamesalimika kweli!
Au kuna miundombinu ilifanyika pale?
 
0c57b1919b35947fdbdb3c674ef96fff.jpg



Lindi nako inapiga sana
Hapo lindi kama mji au LINDI pub maeneo ya mbagala kizuiani?
 
Mpaka sasa Tandahimba huku inapiga si kitoto...

Maeneo mengi yameathirika sana kwani barabara hazipitiki na maji yameingia ndani.
Hali ni mbaya na mvua bado ina kila dalili kuwa itaendelea.
 
Hapa ni himo one mgahawa wa wasomari siku hizi kuna vilami lami unaweza kusahau sema nyumba bado sana
Yes sawa sawa mkuu panaitwa Himo One, Nimeacha pia wanaongezea ongezea vilami, Kwa kweli swala la nyumba jamaa hao bado sanaaa yani.
 
Back
Top Bottom