Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,515
WakuNingependa kujuwa kama Chuo Huria nao wameshatoa majina kwa wale waliomba shahada ya kwanza!?
TayariWakuNingependa kujuwa kama Chuo Huria nao wameshatoa majina kwa wale waliomba shahada ya kwanza!?
Nisaidie mkuu jinsi ya kujiunga foundation courseKindly tembelea hapa
https://www.out.ac.tz/newslist.php?key=News
Nisaidie mkuu jinsi ya kujiunga foundation course
karibu San kiongozi Mimi ni miongon mwa wanafunzi wanaosoma bachelor of science in ICT apa open.Kuhusu ada unalipa kwa unit mfano java programming language ina unit tatu kwa mwaka na kila unit ni tsh 90000 so kama tatu apo uatazidisha mala 90000 kwaiyo utapiga masomo kwa mwaka ni mangap na jumla unit kwa masomo yote ni ngap so utazidisha mala 90000hivi utaratibu wa Ada ukoje kwa open university? na usomaji wake ukoje kwa anaesoma IT ?
Utaratibu ukoje wa kusoma ni full time au kuna part time?karibu San kiongozi Mimi ni miongon mwa wanafunzi wanaosoma bachelor of science in ICT apa open.Kuhusu ada unalipa kwa unit mfano java programming language ina unit tatu kwa mwaka na kila unit ni tsh 90000 so kama tatu apo uatazidisha mala 90000 kwaiyo utapiga masomo kwa mwaka ni mangap na jumla unit kwa masomo yote ni ngap so utazidisha mala 90000
karibu San kiongozi Mimi ni miongon mwa wanafunzi wanaosoma bachelor of science in ICT apa open.Kuhusu ada unalipa kwa unit mfano java programming language ina unit tatu kwa mwaka na kila unit ni tsh 90000 so kama tatu apo uatazidisha mala 90000 kwaiyo utapiga masomo kwa mwaka ni mangap na jumla unit kwa masomo yote ni ngap so utazidisha mala 90000