jamani naombeni mnipe mwongozo nataka kuanza kulima mananasi maeneo ya kiwangwa kati ya bagamoyo na msata kwa hivyo nilikua naomba kama kuna mtu anajishughulisha na huo mradi anishirikishe kuanzia gharama ya kupata shmba la ukubwa wa ekari moja kwani kiwango changu cha pesa ni kidogo kwa hivyo...
habari wa ndugu,jamani nilikua nahtaji kupata kuku wa kienyeji majike walio na umri wa miezi sita kwa ajili ya kufuga mwenye nao naomba tuwasiliane kwa namba 0755966673
habari ndugu zangu?mimi nimemaliza chuo mzumbe mwaka huu nilikua naomba kwa vijana wenzangu walioungana wakaanzisha,kampuni au NGO;S nipo tayari kuungana nao niwe mmja wao na ku-utilize ujuzi niliokua nao kuliko kukaa tu nyumbani naombeni sana msaada huooo niko tayari mda wowote nimesoma BBA in...
pole sana mamaa ki ukweli kuna mabo mengine unatiwa kua na msimamo kwa ajili yako na ndugu zako pia kam ulikua unafumani sms akafikia hatua ya kubadili namba huyo sio kiukweli utamsamehe leo next tym atakuletea ukimwi utakua umepata faida gani hiyo ni tabia yake maana hata majibu aliyokupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.