Recent content by His Excellecy

  1. H

    JamiiForums Tanzania GAMBIA: Yahya Jammeh aikausha Hazina. Aondoka na magari na vitu vya thamani

    Ndo maana trump anailaani sana afrika
  2. H

    JamiiForums Tanzania Hivi ni dawa gani CCM wanayoitumia inapigiwa kura kwa wingi?

    Mchezo unaotumika hapa ni 1.Kuwanunua mawakala wa upinzani wauze kura zao kwa ccm 2.Kutumia mamluki kwenye vituo vya uchaguzi wakafanye fujo ili askari waje na mabomu na kutawanya wapigakura,muda wanakuja wanakuja na mabox amabayo tayari yanakura zilizopigwa,wanaweka yale haraka na kuchomoka...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Mbowe una option 2: Kujiuzulu au kuwatimua Lowassa na Sumaye ili chama kirudi kwa wananchi

    Strictly don't offer simple responses to complex questions and vice versa.Rough techniques used by the rulling party to win elections will end soon.Even in Ivory coast,Malawi,Kenya,Gambia was the same scenario but a time came when opposition parties took over
  4. H

    JamiiForums Tanzania Marehemu jana wamepiga kura Zanzibar

    Ila kushinda ccm zanzibar hii haipo kabisa,ila kwa utawala huu wa marekani hz figisufigisu zinamwisho
  5. H

    JamiiForums Tanzania Marehemu jana wamepiga kura Zanzibar

    hii ndo tz,trump anayoitafuta
  6. H

    JamiiForums Tanzania Kumkashifu mtume Muhammad na kunyang'anywa leseni ya udaktari, sheria zimezingatiwa?

    hahahsaaaaa,tumeipenda wenyeweee....ngwangwaaaaa
  7. H

    JamiiForums Tanzania Kumkashifu mtume Muhammad na kunyang'anywa leseni ya udaktari, sheria zimezingatiwa?

    Mbona hawa mitume ni wengi sanaaa.Mtume au nabii yeyote ambaye biblia haijamtaja mimi simtambui.I only trust and believe bible,not other books
  8. H

    JamiiForums Tanzania Kumkashifu mtume Muhammad na kunyang'anywa leseni ya udaktari, sheria zimezingatiwa?

    Ukifikia hatua mpaka kumuua mwenziyo sababu ya dini,ukaoimwe kichwani.Kama unaamini huyo unayemwabudu ni mwema na mpenda mema,utafanyaje mauaji kwa niaba yake? Mungu hatetewi,anajitetea
  9. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nani shujaa wako kwa mwaka ulopita 2016?

    Muumba ndo shujaa wangu,ndiye aliyenifanya niendelee kupumua?
  10. H

    JamiiForums Tanzania USHUHUDA: Kuku wa kienyeji (Pure) - Biashara kichaa isiyo na tija

    UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJI SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI Napenda kumshukuru mwenyezi Mungu ambaye ameniwezesha kwa namna moja au nyingine kutoa mchango wangu kwa mtindo huu. Huu ni kama mwongozo tu wa nini utakabiliana nacho au unatakiwa kufanya katika zoezi zima la ufugaji wa kuku wa...
Back
Top Bottom