Hali mbaya ya Njaa nchini: Mifugo inakufa, Mvua hakuna na Viongozi wanaogopa kusema!

mvua zinanyesha ila ni chache!ila najiuliza ikiamua kunyesha na watu wakavuna,hawa wasio na jema,sura zao wataziweka wapi?na ni ajenda gani nyingine watakaoipata?maana kila siku imekuwa:ukame!ukame!ukame!njaa!njaa!njaa!
Wanatapatapa wanatafuta kuti la kujishikia ukame nao imekuwa issue ya kisiasa wanatamani waongee na mungu ukame uongezeke. Kama wao wanaona ukame wanadhani viongozi hawaoni? Au mpk watangaze kwenye tv ndio mjue kuna hatua zinachukuliwa?
Hali halisi mvua ni chache na imechelewa kunyesha lkn maeneo mengi yaliyochelewa kupata mvua yameanza kupata wiki iliyopita japo chache. Acheni exaggeration.
 
Habari za muda Wadau,

Jana nilikuwa nafuatilia taarifa ya Habari Mkoani morogoro nilichokiona kwakweli hali si shwari.

Mifugo inaanguka kwa kukosa chakula, hali ya wakulima ni mbaya kuliko maelezo, nimejaribu kufuatilia Mikoa ya Tabora, Shinyanga , Dodoma , Singida , Manyara na Kilimanjaro mpaka sasa hakuna mvua.

Viongozi wa maeneo husika sijawasikia wakitoa tamko lolote na hali ya chakula ni mbaya sana katika maeneo hayo kuna njaa ya kutisha si kwa mkulima wala mfugaji.

Nilichokiona ni kwamba viongozi wanaogopa kusema kwamba kuna njaa katika maeneo yao kwa sababu Agizo lilishatolewa na Mh. Rais kwamba hakuna chakula cha misaada.

Sasa nilikuwa nashauri serikali ijaribu kufuatilia hali si shwari maeneo mengi nchini watu wanakufa kwa njaa Viongozi wanaogopa kusema.
Mimi naonelea Serikali ingelegeza msimamamo kidogo. Itoe chakula kwenye akiba yake lakini kisigawiwe bure kwa wenye nguvu katika maeneo yaliyoathirika na njaa. Watu watumie nguvu zao kufanya shughuli za maendeleo kwenye maeneo yao kutokana na vipaumbele vyao, kwa mfano kufyatua matofali,kuchenga vyumba vya madarasa,vyoo kwenye shule,kukarabati barabara n.k ndio walipwe kwa kupewa hicho chakula. Wazee na wsiojiweza ndio wepewe chakula cha bure/msaada. Huu mpango ulishawahi kutumika siku za nyuma baada ya Uhuru na ulileta maendeleo makubwa kwa baadhi ya maeneo fulani ya nchi hii.
 
Hivi acheni UPUUUZI.....hivi hii hali ni mara ya kwanza kutokea nchini mwetu??????Aiseeh tatzo kila kitu mnageuza ni mambo ya kisiasa......
Serikali haina shamba!

Kweli kabisa hii si mara ya kwanza, lakini jinsi ya ku deal na hili ndiyo unique.

Tusifumbie macho hili. Wakulima wapatiwe mbegu zinazostahimili ukame na wataalamu wa kilimo wasambazwe mikoani wasaidie wakulima na wafugaji
 
Habari za muda Wadau,

Jana nilikuwa nafuatilia taarifa ya Habari Mkoani morogoro nilichokiona kwakweli hali si shwari.

Mifugo inaanguka kwa kukosa chakula, hali ya wakulima ni mbaya kuliko maelezo, nimejaribu kufuatilia Mikoa ya Tabora, Shinyanga , Dodoma , Singida , Manyara na Kilimanjaro mpaka sasa hakuna mvua.

Viongozi wa maeneo husika sijawasikia wakitoa tamko lolote na hali ya chakula ni mbaya sana katika maeneo hayo kuna njaa ya kutisha si kwa mkulima wala mfugaji.

Nilichokiona ni kwamba viongozi wanaogopa kusema kwamba kuna njaa katika maeneo yao kwa sababu Agizo lilishatolewa na Mh. Rais kwamba hakuna chakula cha misaada.

Sasa nilikuwa nashauri serikali ijaribu kufuatilia hali si shwari maeneo mengi nchini watu wanakufa kwa njaa Viongozi wanaogopa kusema.

Serikali iseme nini wakati hali inaonekana kiasi kwamba hata wewe umegundua. Serikali ipeleke msaada wa chakula tu. Kuhusu mvua ni issue nyingine hiyo.
 
ZIKA.... iliposemwa ipo tunajuwa Dr. Wetu kilichompata..ZIKA IKAMZIKA. sasa na hili hakutakuwa na wa kumfunga paka kengere...labda paka aamue kuivaa kengere yeye mwenyewe...VINGINEVYO NJAA ITAMNJAA
 
Elimu dhidi ya mazao yanayovumilia ukame itolewe, mana hakuna mvua za kutengeneza kama walivyosemaga enz zile.
 
mvua zinanyesha ila ni chache!ila najiuliza ikiamua kunyesha na watu wakavuna,hawa wasio na jema,sura zao wataziweka wapi?na ni ajenda gani nyingine watakaoipata?maana kila siku imekuwa:ukame!ukame!ukame!njaa!njaa!njaa!

Kwa hiyo kukosekana kwa mvua kuna uhusianao na maamuzi ya Serikali? Dodoma wameshauriwa miaka mingi pandeni mtama badala ya mahindi wanapuuza ni serikali? Wengine mlio humu mitandaoni njaa ni utamaduni mahali mlikozaliwa hata mvua zikinyesha,tatizo ni serikali.Tafuteni hoja za akili vinginevyo mtaishi mika yenu yote Duniani mkilalamika tu.
 
mvua inanyesha japo sio kubwa kivile!
Kule simiyu,katika wilaya zote mvua inanyesha!na hata jana kule meatu ilinyesha wakati najiandaa kwenda bukoba!
Mvua zinanyesha!nenda singida,dodoma,ila sio kubwa kivile!

mkuu,kule meatu kabla ya kuondoka bei ya kilo moja ikirandaranda kati ya 1200 mpaka 1400!
Na mvua inanyesha japo sio kubwa!
Acha uongo dodoma mvua zinanyesha wapi ukiacha ile ya juzi iliyonyesha mjini tu hata nkuhungu wala ipagala haijafika
 
Hivi acheni UPUUUZI.....hivi hii hali ni mara ya kwanza kutokea nchini mwetu??????Aiseeh tatzo kila kitu mnageuza ni mambo ya kisiasa......
Acha kutokwa mapovu, ni mara ya kwanza kweli kutokea hii hali at the same time hela imeadimika yaani mabalaa mawili kwa wakati mmoja
 
Back
Top Bottom