aina ya vyakula pia na vinywaji huchangia sana mdomo kunuka, pengine wengi harufu siyo ya mdomoni tu bali huanzia tumboni, hata akipiga mswaki harufu huondoka baada ya mda hurudi tena, wengine ni wangonjwa wa infections fulani kwenye kinywa na koo, ambazo bila kuzitibu harufu haiwezi kuisha...
Wanabakwa? msichana aliye fika elimu ya chuo yupo huru na maamuzi yake, ndiyo maana hawavai sare na wala hawakaguliwi wamelala wapi! kufaulu kwa kujipendekeza kwa walimu wanatafuta wenyewe kwa kupenda mteremko, akili ya kukomaa na masomo hasa kwa watoto wa kike wengi imepungua sana, wengi...
mleta maada nadhani una tatizo tofauti na Mzumbe siyo elimu yako tu, kweli kuna walimu wanao compromise elimu katika kila chuo udsm, mzumbe nk (nasema hivi kwa sababu nimesoma hivi vyuo vyote) huko kwingine nadhani sijui, ila tatizo haliwezi kujumuishwa na kuharibu chuo kizima, take my words...
Polisi na viongozi wetu waache maigizo katika hili, bora wange hangaika kuwatafuta wahalifu kimya kimya kuliko kukaa wnaadvertise matukio ambayo kimsingi ukiya chunguza ni fake
Pole dada angu, mimi pia na mke wangu nilipitia uzoefu huu, ila baada ya miaka mitano tukapata mtoto. niliyo jifunza kwenye matatizo ya uzazi ni kama ifuatavyo:
1. matatizo ya uzazi hayapo kwa mwana mke tu pengine, mtoto anapatikana na watu wawili, mwanaume akiwa na ka tatizo kadogo ukiongezea...
kama hajui kupika wewe ndiye hujui kupika! she is your wife, yupo mikononi mwako badala ya kuja kulalamika huku tafuta namna ya kumfanya ajue kupika, kwa approach nzuri hakuna mwanamke au mwanamme mbishi duniani
There are no dumb learner, there are always dumb trainers! mwalimu kumdhalilisha mwanafunzi anasahau kuwa anajidhalilisha mwenyewe, kile alivyo mwanafunzi ni reflection ya kufeli kwa mafunzo ya mwalimu ambayo amekuwa akimpatia
Stress pia zina mchango mkubwa sana kwa mwanamke kushindwa kushika ujauzito, ulipo fika kipindi ukaacha kuahangaika na stress zikaisha ndipo ulipo nasa!
halafu hizo riba una zikokotoaje? tunaombe uje na mfano wa mkopo ulio tolewa na jumla ya mkopo mtu atakao lipa baada ya kipindi fulani. Kuna kitu kinaitwa "effective interest" yaani jumla ya malipo yote atakayo yalipa mkopaji kuhusiana na mkopo. kutaja riba ndogo ni jambo moja, namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.