Naona umekimbilia kwenye uzushi wa karne ya pili amb
Bado hujaonesha wapi Paulo amepotosha yote uliyoyaongea ni heresy za karne ya kwanza ibada ya jumapili, utatu
utowashi ulikuwepo hata kabla ya kuwepo kwa Paulo
kuoa mke mmoja lipo kwenye desturi ya kiyahudi ndoa maana ukisoma kitabu cha...
Licha ya kwamba wewe ni mtaalam wa fasihi ila kuelewa context ya mtume Paulo imekuwa ni ngumu kwako
Paulo hajawahi kupinga sheria hata sehemu moja na wala hang'ati na kupuliza kama unavyodai Paulo anapingana na mabaraza ya kiyahudi ambapo kama utatuliza akili utaona wayahudi wakristo...
Adriz nikisema waislamu mnasumbuliwa na inferiority complex kila kitu unahisi mnaonewa namna nzuri ya we kupambana na vita dhidi ya dhihaka,ubaguzi wa rangi au dini ni kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine
Yes huu ndio moja kati ya utabiri ambao naupenda sana ukisoma tafsiri ya globalization ni interaction of people company na growth of technology ambayo ni what exactly Daniel alisema back in 500BC
Jeshi la police linavyozidi kukaa kimya ndio linamalizia chembe ya Imani ndogo iliyobakia
Linatakiwa kutoka hadharani na kukiri ukweli huu sio wakati wa sisi kudanganyana tena
Mkuu embu nisaidie Mimi ni kijana wa miaka 22 mwaka uliopita nlikuwa nasumbuliwa sana maumivu kwenye kiuno pamoja na ganzi Kali mguu wa kushoto nlivoenda hospitali nikakutana na intern doctor baada ya X-ray hakunieleza shida nini japokuwa pale kwenye Ile karatasi niliona ameandika flat back...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.