Recent content by hhaway

  1. hhaway

    Wana theolojia naomba ufafanuzi kati ya Yesu na Paulo nani mwenye final devine rights zaidi?

    Naona umekimbilia kwenye uzushi wa karne ya pili amb Bado hujaonesha wapi Paulo amepotosha yote uliyoyaongea ni heresy za karne ya kwanza ibada ya jumapili, utatu utowashi ulikuwepo hata kabla ya kuwepo kwa Paulo kuoa mke mmoja lipo kwenye desturi ya kiyahudi ndoa maana ukisoma kitabu cha...
  2. hhaway

    Wana theolojia naomba ufafanuzi kati ya Yesu na Paulo nani mwenye final devine rights zaidi?

    Licha ya kwamba wewe ni mtaalam wa fasihi ila kuelewa context ya mtume Paulo imekuwa ni ngumu kwako Paulo hajawahi kupinga sheria hata sehemu moja na wala hang'ati na kupuliza kama unavyodai Paulo anapingana na mabaraza ya kiyahudi ambapo kama utatuliza akili utaona wayahudi wakristo...
  3. hhaway

    Lamine Yamal avunja ukimya kuhusu kauli za kibaguzi na kejeli dhidi ya Uislamu

    Adriz nikisema waislamu mnasumbuliwa na inferiority complex kila kitu unahisi mnaonewa namna nzuri ya we kupambana na vita dhidi ya dhihaka,ubaguzi wa rangi au dini ni kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine
  4. hhaway

    Hayawi, hayawi, yamekuwa! Teknolojia imethibitisha tena ukweli wa Biblia!

    Yes huu ndio moja kati ya utabiri ambao naupenda sana ukisoma tafsiri ya globalization ni interaction of people company na growth of technology ambayo ni what exactly Daniel alisema back in 500BC
  5. hhaway

    KERO Kero: Wahudumu wa shoppers Arusha mna kauli chafu

    Shoppers 2021 nilikutana na ubaguzi wa rangi kabisa Hadi leo sijarudi
  6. hhaway

    Larry Madowo na CNN wana cheti cha ithibati cha kufanya forensic investigations?

    Mkumbusheni kuwa wana bajeti ya zaidi ya Trillion 9 kwa mwaka
  7. hhaway

    Maisha ya mwanamke huanza akiwa na miaka 18, Maisha ya mwanaume huanza akiwa na miaka 28

    A fool at 40 is a fool forever kwa sababu hapo ndio maisha ya mwanaume yanaanza
  8. hhaway

    Tulipofika: mbegu ya chuki inapandwa, umma unachezeshwa, na hatari ina tengenezwa, hatua za haraka zichukuliwe!

    Jeshi la police linavyozidi kukaa kimya ndio linamalizia chembe ya Imani ndogo iliyobakia Linatakiwa kutoka hadharani na kukiri ukweli huu sio wakati wa sisi kudanganyana tena
  9. hhaway

    GE2025 "I am the Commander-in-Chief" - Samia Warns Against Election Day Protests, Urges Tanzanians to Focus on Voting

    She has been saying this statement over and over and over why? Is she afraid of someone else
  10. hhaway

    Kutapika damu kwa mgonjwa madonda ya tumbo inaweza kuwa hatari kiasi gani?

    Mkuu embu nisaidie Mimi ni kijana wa miaka 22 mwaka uliopita nlikuwa nasumbuliwa sana maumivu kwenye kiuno pamoja na ganzi Kali mguu wa kushoto nlivoenda hospitali nikakutana na intern doctor baada ya X-ray hakunieleza shida nini japokuwa pale kwenye Ile karatasi niliona ameandika flat back...
  11. hhaway

    Mke wangu ananipa mashaka

    Tuseme tu mwendo umeumaliza hauna mke
  12. hhaway

    Shahidi kesi ya Lissu asema ana degree ya Refrigerator ana air conditioner

    Migandisho na miubaridi flani hivi ya huko nairobi
  13. hhaway

    Penzi la binti mlokole linanitoa jasho

    Labda wewe ndio mwendawazimu think twice kabla hujaruhusu mdomo kusema
  14. hhaway

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Yeap
Back
Top Bottom