Recent content by hery_edson

  1. hery_edson

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Crdb tayari huko pameitika.
  2. hery_edson

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kwa kweli asee......nahisi utakuwa uzi mrefu kuliko wote....maana wengi tupo 3rd floor mpka tustaafu utaupita hadi ule uzi wa kula kimasihara😂😂😂
  3. hery_edson

    KERO Wiki ya pili hii tunashindwa kununua hisa za CRDB

    Ninavyohisi, kutokana na performance ya hisa za crdb zimekuwa na matokeo mazuri sana sokoni kuanzia kwenye faida hasa kwa report za Q1 na Q2, so wanauhakika wa gawio kubwa ambapo inapelekea pia bei yake sokoni kupanda zaidi kwa hiyo ndio maana watu wanazi hold wanaamini kuna future nzuri zaidi...
  4. hery_edson

    KERO Wiki ya pili hii tunashindwa kununua hisa za CRDB

    Hapo pote ulipo ongea ni sawa....ila hisa za tcc na tbl sio adimu kiasi hicho zinauzika sana sema tu bei yake ni kubwa sana watu wanashindwa kununua. Mfano ni wauzaji wa hisa za tcc=14k hadi 15k wakati tbl=7k hadi 8k kwa hisa moja tu na hakuna wanunuzi.
  5. hery_edson

    KERO Wiki ya pili hii tunashindwa kununua hisa za CRDB

    Ni kweli kuwa sasa hivi bei ni hiyo uliyoitaja, ila ukiangalia pale kwenye section ya "sell" haina wauzaji, watu hawauzi ndio maana hiki kipindi imekuwa ngumu sana kuzipata hisa hizi sokoni.
  6. hery_edson

    Jinsi nilivyopoteza milioni mbili kwenye soko la hisa

    Mkuu kama kweli una elimu ya hisa na ni mfuatiliaji mzuri wa hisa....sikutegemea kama ungesema kuwa hisa za CRDB na NMB haziuziki. Kwa sababu moja ya hisa zenye liquidity na volume ya mauzo sokoni ni CRDB, sasa sijui hii statement yako imetoka kwenye utafiti upi ...?? On addition kutokana na...
  7. hery_edson

    Tresuary bills na tresuary bonds za BOT

    Nakala laini sidhani kama ipo....ila mimi nilinunua pale mlimani city kwenye duka la vitabu.....bei yake ilikua 40,000/=. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. hery_edson

    Habari za mda huu wana jamvi, mwenye ujuzi wa maswala ya umeme.......

    Habari mimi ni mtaalamu wa umeme kwenye kipengele cha ku design michoro ya umeme. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. hery_edson

    CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

    Gawio la NMB lilikua ni tzs 286. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. hery_edson

    CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

    Ndio, thamani ya hisa ni ndogo kulinganisha na bei ya sokoni....lakini hata hivyo haiondoi ukweli kwamba nmb wapo vizuri sana sokoni kwa sasa hvi. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. hery_edson

    CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

    Zipo nyingi ila mojawapo ni Demand and supply ya shares na changes in economic conditions. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. hery_edson

    CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

    Mwaka huu inaweza fika TZS 57 Sent using Jamii Forums mobile app
  13. hery_edson

    CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

    Non performing loans CRDB=2.8% NMB=3.2% NAV per share CRDB=TZS 681.5 NMB=TZS 4181.2 COST TO INCOME RATIO (CIR) CRDB=55% NMB=39% Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom