Recent content by hery_edson

  1. hery_edson

    JamiiForums Tanzania Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

    Zote ni nzuri na zina mfumo mmoja wa uwekezaji (close ended fund), ila nico yupo vizuri sababu ya hisa zake nyingi zipo NMB kwa hiyo performance nzuri ya NMB ina affect directly to Nicol. Afriprise naye yupo vizuri sana, ila huyu ame invest sana kwenye kampuni za east africa (kenya uganda...
  2. hery_edson

    JamiiForums Tanzania Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

    Wapo vizuri kwa strategy, lakini kwa miaka hii mitatu mfululizo mapata yao yamekuwa yakishuka, pia soko lao limekuwa gumu sana sababu ya kuingiliwa na makampuni kama ya dangote cement.
  3. hery_edson

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Crdb tayari huko pameitika.
  4. hery_edson

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kwa kweli asee......nahisi utakuwa uzi mrefu kuliko wote....maana wengi tupo 3rd floor mpka tustaafu utaupita hadi ule uzi wa kula kimasihara😂😂😂
  5. hery_edson

    JamiiForums Tanzania KERO Wiki ya pili hii tunashindwa kununua hisa za CRDB

    Ninavyohisi, kutokana na performance ya hisa za crdb zimekuwa na matokeo mazuri sana sokoni kuanzia kwenye faida hasa kwa report za Q1 na Q2, so wanauhakika wa gawio kubwa ambapo inapelekea pia bei yake sokoni kupanda zaidi kwa hiyo ndio maana watu wanazi hold wanaamini kuna future nzuri zaidi...
  6. hery_edson

    JamiiForums Tanzania KERO Wiki ya pili hii tunashindwa kununua hisa za CRDB

    Hapo pote ulipo ongea ni sawa....ila hisa za tcc na tbl sio adimu kiasi hicho zinauzika sana sema tu bei yake ni kubwa sana watu wanashindwa kununua. Mfano ni wauzaji wa hisa za tcc=14k hadi 15k wakati tbl=7k hadi 8k kwa hisa moja tu na hakuna wanunuzi.
  7. hery_edson

    JamiiForums Tanzania KERO Wiki ya pili hii tunashindwa kununua hisa za CRDB

    Ni kweli kuwa sasa hivi bei ni hiyo uliyoitaja, ila ukiangalia pale kwenye section ya "sell" haina wauzaji, watu hawauzi ndio maana hiki kipindi imekuwa ngumu sana kuzipata hisa hizi sokoni.
  8. hery_edson

    JamiiForums Tanzania Pambano la Mwakinyo laahirishwa, mkanda uliokuwa unapiganiwa haukuletwa ulingoni

    Huyu amir matumla ni balaa.
  9. hery_edson

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyopoteza milioni mbili kwenye soko la hisa

    Mkuu kama kweli una elimu ya hisa na ni mfuatiliaji mzuri wa hisa....sikutegemea kama ungesema kuwa hisa za CRDB na NMB haziuziki. Kwa sababu moja ya hisa zenye liquidity na volume ya mauzo sokoni ni CRDB, sasa sijui hii statement yako imetoka kwenye utafiti upi ...?? On addition kutokana na...
  10. hery_edson

    JamiiForums Tanzania Tresuary bills na tresuary bonds za BOT

    Nakala laini sidhani kama ipo....ila mimi nilinunua pale mlimani city kwenye duka la vitabu.....bei yake ilikua 40,000/=. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. hery_edson

    JamiiForums Tanzania Habari za mda huu wana jamvi, mwenye ujuzi wa maswala ya umeme.......

    Habari mimi ni mtaalamu wa umeme kwenye kipengele cha ku design michoro ya umeme. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. hery_edson

    JamiiForums Tanzania CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

    Gawio la NMB lilikua ni tzs 286. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. hery_edson

    JamiiForums Tanzania CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

    Ndio, thamani ya hisa ni ndogo kulinganisha na bei ya sokoni....lakini hata hivyo haiondoi ukweli kwamba nmb wapo vizuri sana sokoni kwa sasa hvi. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. hery_edson

    JamiiForums Tanzania CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

    Zipo nyingi ila mojawapo ni Demand and supply ya shares na changes in economic conditions. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom