Ni kweli, gachuma ana hisa za crdb almost 32M, pia ana hisa pale afriprise kwenye soko la hisa la dse, so unaweza piga hesabu fasta fasta hapo ana mzigo wa kiasi gani.....
Inategemeana na risk appetite yako, hatifungani ni uwekezaji salama zaidi wenye constant earnings (12% or 15 p.a)
Ila kama una risk appetite kubwa, hisa ni nzuri, maana unaweza kupata return hadi 500%, ila kama kampuni uliyochagua haija perform vizuri kwa kipindi husika tegemea pia -ve return.
Zote ni nzuri na zina mfumo mmoja wa uwekezaji (close ended fund), ila nico yupo vizuri sababu ya hisa zake nyingi zipo NMB kwa hiyo performance nzuri ya NMB ina affect directly to Nicol.
Afriprise naye yupo vizuri sana, ila huyu ame invest sana kwenye kampuni za east africa (kenya uganda...
Wapo vizuri kwa strategy, lakini kwa miaka hii mitatu mfululizo mapata yao yamekuwa yakishuka, pia soko lao limekuwa gumu sana sababu ya kuingiliwa na makampuni kama ya dangote cement.
Ninavyohisi, kutokana na performance ya hisa za crdb zimekuwa na matokeo mazuri sana sokoni kuanzia kwenye faida hasa kwa report za Q1 na Q2, so wanauhakika wa gawio kubwa ambapo inapelekea pia bei yake sokoni kupanda zaidi kwa hiyo ndio maana watu wanazi hold wanaamini kuna future nzuri zaidi...
Hapo pote ulipo ongea ni sawa....ila hisa za tcc na tbl sio adimu kiasi hicho zinauzika sana sema tu bei yake ni kubwa sana watu wanashindwa kununua.
Mfano ni wauzaji wa hisa za tcc=14k hadi 15k wakati tbl=7k hadi 8k kwa hisa moja tu na hakuna wanunuzi.
Ni kweli kuwa sasa hivi bei ni hiyo uliyoitaja, ila ukiangalia pale kwenye section ya "sell" haina wauzaji, watu hawauzi ndio maana hiki kipindi imekuwa ngumu sana kuzipata hisa hizi sokoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.