Ninavyohisi, kutokana na performance ya hisa za crdb zimekuwa na matokeo mazuri sana sokoni kuanzia kwenye faida hasa kwa report za Q1 na Q2, so wanauhakika wa gawio kubwa ambapo inapelekea pia bei yake sokoni kupanda zaidi kwa hiyo ndio maana watu wanazi hold wanaamini kuna future nzuri zaidi...
Hapo pote ulipo ongea ni sawa....ila hisa za tcc na tbl sio adimu kiasi hicho zinauzika sana sema tu bei yake ni kubwa sana watu wanashindwa kununua.
Mfano ni wauzaji wa hisa za tcc=14k hadi 15k wakati tbl=7k hadi 8k kwa hisa moja tu na hakuna wanunuzi.
Ni kweli kuwa sasa hivi bei ni hiyo uliyoitaja, ila ukiangalia pale kwenye section ya "sell" haina wauzaji, watu hawauzi ndio maana hiki kipindi imekuwa ngumu sana kuzipata hisa hizi sokoni.
Mkuu kama kweli una elimu ya hisa na ni mfuatiliaji mzuri wa hisa....sikutegemea kama ungesema kuwa hisa za CRDB na NMB haziuziki.
Kwa sababu moja ya hisa zenye liquidity na volume ya mauzo sokoni ni CRDB, sasa sijui hii statement yako imetoka kwenye utafiti upi ...?? On addition kutokana na...
Nakala laini sidhani kama ipo....ila mimi nilinunua pale mlimani city kwenye duka la vitabu.....bei yake ilikua 40,000/=.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio, thamani ya hisa ni ndogo kulinganisha na bei ya sokoni....lakini hata hivyo haiondoi ukweli kwamba nmb wapo vizuri sana sokoni kwa sasa hvi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Non performing loans
CRDB=2.8%
NMB=3.2%
NAV per share
CRDB=TZS 681.5
NMB=TZS 4181.2
COST TO INCOME RATIO (CIR)
CRDB=55%
NMB=39%
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.