Recent content by herry_mo68

  1. H

    Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

    Siwaelewag kabisa me hawa viumbe
  2. H

    Kwanini huyu bondia Mtanzania aliyeshinda Uingereza anajiita Hassan Mwakinyo?

    Harafu ukishamjuwa.? Fanya yako bhaana au yakufatilia umekosa?
  3. H

    Usaliti unauma

    Ule uzi wa kuwapiga chini madem hakuusoma mkuu. Mwanaume halii lii hivyo ulivyoona hapokei cm sijui hajibu msg ungepiga chini Sent using Jamii Forums mobile app
  4. H

    Wale madada wa ATCL ndo dada zetu wa Kitanzania halisi. Mwataka waweje?

    Aaaa. ***** wana sura ngumu harafu wamekaa kaa tu kama shape ya tangawizi Sent using Jamii Forums mobile app
  5. H

    Ukweli mchungu: Pasipo anguko la Malaika (Sons of Gods/Watchers/Anunnakis/Aliens), Mwanadamu angeendelea kubaki kilaza.

    Hiyo history ya wakristo kuwapiga waislam ethiopia uliipata wapi mkuu.? N:b uislamu unavyochukiwa na mataifa makubwa like englad, usa, france etc kama ungekuwa wa kupigwa kama unavyosema bila shaka mpaka sasa usingekuwepo. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. H

    Ukweli mchungu: Pasipo anguko la Malaika (Sons of Gods/Watchers/Anunnakis/Aliens), Mwanadamu angeendelea kubaki kilaza.

    Hizo ni story zisizofikirika ndio maana zinawaumiza kichwa. Hivi inawezekana vp malaika aliyeumbwa kwa nuru atamani mwanamke aliyeumwa kwa udongo na aliyemfundisha urembo mwenyew. ? Au mnadhani malaika wanaakili na matamanio kama ya wanaadamu?? Msiwe wavivu wa kufikiri tumieni ubongo wadau...
  7. H

    Natafuta mke wa kuoa

    [emoji23] [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. H

    Ewe dada, bila kumpa mwanaume vitu vya ziada anasepa.

    Waambie madamshi wasiojishughurisha Sent using Jamii Forums mobile app
  9. H

    Arusha: Mji ulioshindikana kwa watu kula 'bata' hapa Tanzania

    Now hali imekuwa ngumu kinyama toka serikali useme wana Appolo walipwe kwahiyo sehemu kubwa shughuri ya uchimbaji imesimama maisha yame magumu kinyama hakuna bata wala kanga Sent using Jamii Forums mobile app
  10. H

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Mchumba akitk naachaje kula o
  11. H

    Fid q- ukijikuna makali usikate kucha kwa mdomo(Kiberiti)

    Inamuhusu kibamia mcheza mpira
Back
Top Bottom