Ule uzi wa kuwapiga chini madem hakuusoma mkuu. Mwanaume halii lii hivyo ulivyoona hapokei cm sijui hajibu msg ungepiga chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo history ya wakristo kuwapiga waislam ethiopia uliipata wapi mkuu.?
N:b uislamu unavyochukiwa na mataifa makubwa like englad, usa, france etc kama ungekuwa wa kupigwa kama unavyosema bila shaka mpaka sasa usingekuwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni story zisizofikirika ndio maana zinawaumiza kichwa. Hivi inawezekana vp malaika aliyeumbwa kwa nuru atamani mwanamke aliyeumwa kwa udongo na aliyemfundisha urembo mwenyew. ? Au mnadhani malaika wanaakili na matamanio kama ya wanaadamu??
Msiwe wavivu wa kufikiri tumieni ubongo wadau...
Now hali imekuwa ngumu kinyama toka serikali useme wana Appolo walipwe kwahiyo sehemu kubwa shughuri ya uchimbaji imesimama maisha yame magumu kinyama hakuna bata wala kanga
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.