THEGENTLEMAN1996
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 518
- 590
Hahaha! mbona umekuwa mchungu ??Huna lolote wewe zaidi ya upuuzi wako wa chuki za udini,unadhani hatuna kumbukumbu humu jf na chuki zako na kejeli dhidi ya imani za wengine? Kama una ushahidi unangoja nini kwenda kufungua kesi? Hizo chuki zako hazitokufaa lolote,pigana na hali yako kwanza uupunguze umasikini uliokuzunguka.
relax MUNGU anajua hatma yetu...!!