Ewe dada, bila kumpa mwanaume vitu vya ziada anasepa.

Ewe dada, bila kumpa mwanaume vitu vya ziada anasepa.

Niache kusaka noti nikafunge bembea chumbani huo muda sina kwa kweli.

Wanawake wenzangu na wasichana tafuteni hela, kuweni wacha Mungu, wanyenyekevu na wenye busara mtapata wanaume mnaowahitaji.

Ila ukiruhusu mwanaume akuruke ukuta atakutoa thamani siku hiyo hiyo uliyomruhusu.
 
Kwenye bembea hapo nimecheka sana, huyo mwanamke ni mtoto wa Sir Isaack Newton nini?
 
Hadi kurukwa ukuta!!? Kisa ni nini? Kulipalilia penzi??? Huyo aende zake tu kwa amani. Usijidanganye bi dada kuwa ukirukwa ukuta ndo utamdhibiti... Wacha niishie hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimuacha aende utakuwa umekata tamaa na utakuwa umekubali kushindwa. Maisha in mapambano, jitahidi kuzishinda changamoto.
 
Mapenzi ya sasa si kwa wanawake peke yao. Sema tu kwa kuwa wao ni wengi mno.

Ila sanaa ya mapenzi inahitaji ubunifu kila wakati. Ukileta mazoea unaachwa au utamegewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eeee kufinyia kwa ndani kukoje mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikumbana nayo hiyo kitu maeneo ya nyehunge huko kwa mama mmoja wa kisukuma kuna point fulani hivi unahisi kama *boo inaminywa ndani kwa ndani huku kukiwa na kama usumaku hivi design inavutwa huko kwa ndani kisha ananyonga kama vile usukani wa zile lailand duf za enzi ya mkoloni huku na huko - sasa zoezi hilo linafanyika endelevu kwa dakika kadhaa na mpangilio wa aina yake ,weeeeeeeeeeeeh!, weeeeeeeeeeh!, sio kwa utamu ule aiseeeeeeeee!
 
We endelea kulala style ya mende anaye kufa, huku ukijiliza kama mtoto aliyenyimwa pipi utaachwa mpk shetani akushangae.

Vitoto vidogo vitakuwa vimaolewa wewe utaendelea kujipaka kila aina ya make-ups na kuvaa viguo vya kubana tumbo na kujinyima kula ili usinenepeane lkn kamwe huwezi kumgandisha mwanaume kwa kumpa k ktk zama hizi.

Ngono karne hii ni sanaa kama sanaa nyingine, na kwa kuwa wanawake in wengi kuliko wanaume, mwenye ubunifu wa ziada ndiyo anafanikiwa.

Watoto wa Leo ni wabunifu balaa! Mpka bembea wanafunga vyumbani mwao. Bembea ikisukumwa inampeleka meta kumi toka pale mwanaume aliposimamisha mtarimbo wake. Halafu k inasafiri kwa velocity Kali kuja kujipachika kwenye mtarimbo.

Mwanaume wa hivi atatamani kurudi kwa wewe usiyetaka kurukwa hata ukuta? Atarudi kwa wewe usiyelamba hata koni? Atarudi kwa wewe usiyekuwa na kiuno kinachozunguka kama feni?

Tafuta kitu cha ziada ili umpate wa kumgandisha na kukuoa.
Hahahaha........hatari sana hii. Umenikumbusha mambo ya pandelum Bob, duh! Mara velocity Ila umesahau oscillation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania ya viwanda hiyoooooo, haki ya mama haya mambo tunayaweza hadi Trump anashangaa sana:" Watoto wa Leo ni wabunifu balaa! Mpka bembea wanafunga vyumbani mwao. Bembea ikisukumwa inampeleka meta kumi toka pale mwanaume aliposimamisha mtarimbo wake. Halafu k inasafiri kwa velocity Kali kuja kujipachika kwenye mtarimbo"....
Hahahaha....mkuu hii imenichekesha sana, watu wanawaza mbali sana. Imagine hizi akili zikielekezwa kwenye viwanda tutakuwa WAP?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom