Recent content by Herry sekeou Toure

  1. H

    'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi

    elimu si biashara mjomba. Elimu ni haki ya kila mwananchi...!
  2. H

    Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

    nyote mnaokanusha uwepo wa Mwenyez Mungu, hamkusoma vitabu vya dini. Em siku moja chukua Msahaf wa kiswahl then pitia baadh ya mistar af jiulize nan kaandka? alipata wap mistar inayosh mpak leo? kwanin baadh v2 vilivyotajw karne hizo eszimegunduliw hv karibun? kwann maisha yetu yapo kitabun? je...
  3. H

    Tanzia: Nasikitika kuwatangazia kifo cha Baba yangu kipenzi

    Binadam ana maisha sehem 4, kwanza maisha tumbon mwa mama yake, pili ni maisha ya dunia, tatu ni maisha ya kaburi, nne ni maisha baada ya hukumu siku ya mwisho. Ukisema Dunian tunapta ni sawa kwa sababu ni lazima kila mwanadamu apitie Maisha hayo yote.
  4. H

    Wanawake wote wanajiuza ila kila mmoja hutumia njia yake tu ya kujiuza!!

    hahaa!! eti hana jipya..? wakubwa tunasema. "mesage delivery... "
  5. H

    GE2015 Uhamiaji kuchunguza uraia wa Zitto

    sawasawa! em fikiria alichosema slaa kua ilikua ikijulikana tangu zamani hata kabla ya dr slaa kujotoa katika siasa kwamba Lowasa angekuja chadema na watu wake na wote waliafikiana, sasa naona kumbe dah... cc tunaona kachukua maamuz magum, eti Lowasa wamemkata kweny cham chake mara cjui...
  6. H

    Sioni umuhimu wa kuwa na mahusiano kimapenzi

    itaziba tena iyo..! itafitie chanya nzuri, Kikubwa Ibada na Subra.
  7. H

    Kwanini wanawake wengi hasa walio ndani ya ndoa hawafikishwi kileleni?

    kilele ni kufika mshindo au kilele cha matamanio
  8. H

    Asalaam Alaykum waungwana.!!

    Ahsante Babu nimeingia, nipege stori za kale kwani mmekula chumvi nyingi humu jamvini Jf, HAYA NIJUZENI KUNANI HUMU?
  9. H

    Asalaam Alaykum waungwana.!!

    Ahsante kaka...! Nimekuja kujifunza, wakulu mnalonga nini... SIOGOPI
  10. H

    Asalaam Alaykum waungwana.!!

    Ahsante sana... Nimekaribia
Back
Top Bottom