Acha upuuzi wewe, watu wanajadili mambo ya maana ya Tanzania wewe unatuletea mambo yenu watusi na wahutu, this is not our business at the moment. Mmeshindwa kutatua matatizo yenu wenyewe sasa kila kukicha unaposite heading za Rwanda propaganda. Wewe ni Mhutu uliyekimbia Mauji ya kimbali Rwanda...
Kaguta
Kayumba ni mwanajeshi mkubwa na mzoefu, Kwa Hali ilivyo anajua maadui wake na hasa wale Ndugu na wafuasi wa marehemu Patrick Nyamwasa amabeya sasa inaonekana aliuliwa na Kundi la Kayumba baada ya kugombania madaraka na Nyamwasa kushinda. Mpaka mauti inamkuta hawakuwa hata wakiongea. My...
Ashton
Umeshabikia wakala wa Dr Kitila bila hata kuhesim alicho sema, toa hoja acha kupi kelele, hebu rudi nyuma usome ulichoandika. Acha mambo ya kanga moko toa point man.
Hujatenda haki, Prof Rwakabamba kaajiriwa Kwa uwezo wake siyo Kabila lake.
Watanzania wengi Pia wameajiriwa Rwanda na nchi nyingine dunia mbona unakuwa mkabila AMA unanongwa na Kabila watusi?
Tusitukuze ukabila tukasahau uwezo na umuhimu alionao mtu.
Ndugu yangu Mohamed Said,
Salam Aleikhum, Umefanya kazi kubwa ya ubaguzi wa kihistoria, Hata sisi waislam sasa unatuchosha. Hieleweki lengo lako ni lipi katika uchunguzi na Mchango wa Uislam katika kutafuta Uhuru. Ningependa unijibu swali langu dogo, lengo la harakati za ukombozi wa Tanganyika...
Hakuna kielelezo cha msingi kinacho thibitisha Rwanda kuivamia Tanzanai, Tanzania kuna kundi linalo pambiza vita Tena linaendela kukua Kila kukicha. Mimi ninawalaani sana na maandishi yao yatabaki uthibitisho siku itakapo fika. Wanaodhani vita ni mchezo wa kuigiza waendelee. Historia itasomwa
Wewe Gulit acha unafiki wa kuchochea vita kwa tafsiri ya Uzalendo fake, kwanza tuthibitishie faida ya uzalendo wako Kama mtanzania ili liwe fundisho kwetu kuwa wewe Gulit unamaana tofauti na ushabiki wako wa vita hata Jkt hukujui,. ITV nichombo huru, na siyo cheap tag Kama hoja zako wewe...
Hii ndiyo vita, ngoja majina ya marehemu siku yatakapo andikwa ukutani.
Katika Hali hii mashabiki wa vita hupenda kuingiza mbwembwe kwenye ugomvi kisha Jina la ndugu yako linasomwa Mara kilio na kwikwi.
1. Wanapoteza focus ya watanzania kutoka vita vya madawa ya kulevya.
2.wamelipwa na Congo kuifanya Tanzania ionekane ndio mhusika zaidi katika kwenye huo mgogoro
3 Mafisadi wamepewa tenda ya kupeleka Siraha.
Vita haianzi siku moja, ishara yake ni hii ilivyo sasa, majirani kuombeana mabaya, kushabikia migogoro na chokochoko. Baada ya hapo kuanza kupelelezana Nguvu za kijeshi. kureport uchokozi na kulipiza kisasi hatimaye ni mauwaji kamili. Tusidanganyane kuwa Hali ni normal UN peace keeping mission...
Fitinamwiko,
Naomba nikwambie, hakuna vita isiyo na maslahi labda Kama mwanao au your blood family member is on threat ambavyo bado ni maslahi ya familia. Vita vya Congo itakuwa ni chanzo Kikuu cha Tz na Rwd kupigana na hata mahusiano mabovu, hizi kauli za viongozi ni hatua ya mwisho sisi watu...
Humu JF kuna watu wanaotumia jukwaa kufikisha chuki zao za kihistoria, Kwa mtanzania wa kawaida hawezi kuwa na chuki Kwa Rwanda Kaisi cha waraka huu wa Manyerere. Katika waraka wake na baadhi ya wanao unga mkono utaona kuwa wanachuki special na Tabaka la watutsi na siyo wahutu ambao ndiyo jamii...
samahani Manyerere,
Huu waraka umeandika wewe au mtu katumia account yako? Huwezi kuwa mjinga Kaisi hiki nonono! nilipenda sana kusoma article zako hii imenitia kichefu chefu! Kwanza data hazina source na not analytical as used to be. Story ni moja umejaribu kuunga unga hadi uwongo unakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.