Azam imetolewa rasmi kwenye michuano ya Klabu bingwa Africa baada ya kufungwa goli 3-0 na El Merreikh ya Sudani mjini Khartoum katika mchezo Wa marudiano hivyo Azam fc imetolewa kwa jumla ya goli 3-2 baada ya kushinda 2-0 Nyumbani
Timu za kibongo bana wapemba nao nje dah
Hi wadau wa Jamii Forums.
Ni swali ninalouliza tu maana nimeona mahali et 75% ya watanzania walitupia kwa Mara ya kwanza profile picture Facebook 20% ni My Space 5% sehemu nyingine kama kwenye email je kuna ukweli hapa wadau me nipo kwa 75% hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.