Recent content by Hereniko Mashiku

  1. Hereniko Mashiku

    Azam FC OUT Africa

    True mkuu ikishindikana viboko vuhusike
  2. Hereniko Mashiku

    Azam FC OUT Africa

    Hahaha bongo aibu tu kwa soka
  3. Hereniko Mashiku

    Azam FC OUT Africa

    Azam imetolewa rasmi kwenye michuano ya Klabu bingwa Africa baada ya kufungwa goli 3-0 na El Merreikh ya Sudani mjini Khartoum katika mchezo Wa marudiano hivyo Azam fc imetolewa kwa jumla ya goli 3-2 baada ya kushinda 2-0 Nyumbani Timu za kibongo bana wapemba nao nje dah
  4. Hereniko Mashiku

    Kauli 10 chafu za waalimu wawapo darasani

    Mwandiko mbaya kama kapita bata Nyumbani kwenu mnakula dagaa shule unacheza tu
  5. Hereniko Mashiku

    Profile picture za kwanza za wabongo ziliwekwa Facebook?

    Hi wadau wa Jamii Forums. Ni swali ninalouliza tu maana nimeona mahali et 75% ya watanzania walitupia kwa Mara ya kwanza profile picture Facebook 20% ni My Space 5% sehemu nyingine kama kwenye email je kuna ukweli hapa wadau me nipo kwa 75% hapo
  6. Hereniko Mashiku

    Warumi baby

    Hahahaha noma sana
  7. Hereniko Mashiku

    Nimedate na mademu watatu

    Kwa fimbo zimeisha piga tu
  8. Hereniko Mashiku

    Happy Birthday to me

    Happy born day
  9. Hereniko Mashiku

    Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

    Cha muhimu makonda anajua kuhesabu na kuandika jina lake
  10. Hereniko Mashiku

    Nifanyaje ili nisipende sana, naomba ushauri

    Ukitendwa na ww tenda japo haipunguzi maumivu
  11. Hereniko Mashiku

    Mnyama tembo

    me ndio pa kujidai huku
  12. Hereniko Mashiku

    Mnyama tembo

    hadi huku admin hahaha:D:D:D:D:D
  13. Hereniko Mashiku

    Kamchezo jamani

    hahaha dah form two hiyo
Back
Top Bottom