MUGABE ni kizazi cha akina NYERERE,NKURUMA,ISACK STEVEN,GAMAL ABEL NASSER,KENYATTA nk,MUSEVEN yeye ni ni wa kizazi cha ukoloni mamboleo,pamoja na mabaya yako yote kwa hili nmpongeza sana,huu sio utamaduni wetu waafrika hii ni laana ya wazungu,tuikimbie