Recent content by herbertcharles

  1. H

    Msange 823KJ ipo wapi?

    Tabora,usafiri unaanzia Tabora mjini barabara ya kuelekea ulyankulu kama km 27
  2. H

    Sitta: Nitagombea Uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu naamini kuwa nina sifa za kutosha

    mods tuwekee hapa kisanduku cha maoni kati ya sita,chenge na chikawe tuone nani mwenye kukubalika kwa watanzania asimamie mchakato wa kupata katiba mpya
  3. H

    Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

    MUGABE ni kizazi cha akina NYERERE,NKURUMA,ISACK STEVEN,GAMAL ABEL NASSER,KENYATTA nk,MUSEVEN yeye ni ni wa kizazi cha ukoloni mamboleo,pamoja na mabaya yako yote kwa hili nmpongeza sana,huu sio utamaduni wetu waafrika hii ni laana ya wazungu,tuikimbie
  4. H

    Nyaronyo Kicheere 'ahamia CCM'

    Tatizo wajamaa wa lumumba wengi ni vilaza sana,nashindwa kuelewa jinsi gani wamepewa hiyo project B7?yaani fasihi imewapiga chenga?hawa hakika ndio wale wa div 5,kila wachangiapo wao ni matusi tu,Nyaronyo kadhibitisha babo uelewa wa wlio wengi Tanzania ni wa kukariri tu,aya ongezeni matusi na kejeli
  5. H

    Yaliyojiri: BUNGE Maalum la Katiba - TBC LIVE - Feb 18, 2014

    angalia hii Star TV Tanzania - Online TV live from Tanzania
  6. H

    Orodha ya Majina ya Wajumbe wa Bunge la Katiba hii hapa

    nasubiri kusikia kauli yake kama amekubali huo uteuzi au laa,kwani alishatoa tamko kupinga mchakato wote wa katiba tangia mwanzo na kutishia kwenda mahakamani
  7. H

    Madai ya Serikali kufilisika na yanayoendelea ndani ya Wizara ya Fedha!

    mimi nafanya kazi kwa uaminifu mkubwa mwisho wa mwezi silipwi mshahara eti serikali aina pesa,lakini wao kwa safari za kutalii pesa ipo?sijui nani katuloga watanzania 1.Tuna macho lakini hatuoni wenzetu jinsi wanavyofanya wakati watawala wanaposigina maslai yao 2.Tuna masikio lakini hatusikii...
  8. H

    Mbowe aacha mpasuko CHADEMA Bukoba kwa kumuunga mkono Kagasheki

    tupatie update za hicho kakao kama kweli kipo
  9. H

    Kilichowaangusha 'wasaliti' ndani ya CHADEMA hiki hapa

    usikurupuke kuchangia soma kwa utulivu,rudia tena kusoma
  10. H

    Kilio cha Mlalahoi: Kupanda kwa bei ya umeme wanasiasa mko wapi?

    Mishahara ipo palepale aijaongezwa,wao viongozi wanalipiwa kila kitu ndio maana awana huruma na maisha yetu,wakati umefika tuchukue hatua tuache kulalamika
  11. H

    Tulikuwa tukichat tu, tumekutana na kufahamiana leo na leo leo tumezini.

    pole sana,kuwa makini HIV Kama umeikosa basi usirudie tena huo ujinga,una tofauti na mlevi
  12. H

    Mwigamba: Siasa sasa basi, atajikita kwenye mambo ya Uchumi!

    Pole sana mkuu mwigamba,hizi ndizo siasa za africa,bado tuna safari ndefu sana,kikubwa ulichonifurahisha bado wewe utaendelea kuwa mpinzani wa siasa,mwenye kiu ya mabadiliko,mkuu hii itawezekana siku chadema itakapopata viongozi na sio wanaharakati
  13. H

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    kwa maana hiyo kweli wapinzani ipo siku watashinda kiti cha urais?kama kila uchwao tunapokaribia uchaguzi mkuu ni mifarakano na kutungiana majina ya kila aina
  14. H

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    wewe unao ushaidi usiotiliwa shaka na usaliti wa zitto,acheni maneno ya kwenye magazeti na vijiweni, hakuna ushaidi wowote zaidi ya propaganda ili zitto achafuke apotee kwenye siasa.hizi ni siasa zilitumiwa enzi za wakomunisti,kwa dunia ya leo aiwezekani tena
  15. H

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    kuna tofauti sana kati ya Zitto na akina mkumbo katika nafasi za kisiasa ndani ya chama na katika taifa letu,Zitto alipooona haki yake inataka kupora na genge la mafisi wa kisiasa ilikuwa ni haki yake ya msingi kuidai kwenye mahakama,rejea sheria mama(katiba ya nchi)
Back
Top Bottom