Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
We gaidi tuliza mbupu...
Gaidi ni Babu na Yuda Iskariote !:A S wink:
We gaidi tuliza mbupu...
Hivi Yerricko kuna zaidi ya hili au ni chuki binafsi tu? Maana unamchukia ZZK Kama nini vile!
Haya maisha yanapita siasa ni kitu kidogo sana kwenye maisha Leo mbunge kesho Raia wa kawaida! Duu umezidi kuwa mpashkuna
Chuki na fitna iwapi hapo sheikh???Kusoma hauwezi,picha pia??U-dhahabu wake u-wapi?Yote haya yana sababu,yanafanyika kwa maslah ya waajiri wake sio chadema.," ANGEKUA YEYE MZALENDO KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU TAIFA LIPITALO NA MPITO HUU WA UTAFUTAJI WA KATIBA MPYA ANGEFANYA HAYA YA KIHUNI KUSUDI KUGAWA NGUVU YA PAMOJA?Halahala 'leo ana imani na CC kesho atalishwa udini na ccmonia waliojawa na uchu wa madaraka'.Ushindi wake ni kumalizia ubunge wake labda.
Mkuu mi naongea hayo ninauhakika nayo kwani maranyingi sana huwa naenda Kigoma, na watu wengi hawamwamini huyu kijana ingawa kuna watu hapa watakuja kunipinga kwasababu ya mahaba yao kwa ZZK, amewaangusha sana watu wa Kigoma.
Mkuu ukicheka na Nyani utavuna mabua... hata mimi ninahasira na ZZK si kwa utu wake bali kwa usaliti wake na kuwa upande wa Mafisadi...ZZK amepunguza hamasa ya mabadiliko kwa kuihujumu CDM! ... Tanzania yetu yenye utajiri wa asili inaliwa na MAFISADI wenye kumtumia Zitto... Fundamental difference btw Zitto na sisi ni usaliti wake kwa watanzania ...Sisi tunataka rasilimali zetu zitunufaishe, wakati yeye anataka Raslimali zetu ziendelee kumilikiwa na MAFISADI wachache....
Zitto kama anaweweseka vile! Angeenda tu kujieleza kwa kamati kuu ya chama chake. Asipotendewa haki ndio angechukua hatua zinazofuata. Ni vigumu sana kwa mahakama kutoa uamuzi juu ya hofu tu badala ya ushahidi kwamba KK haikumtendea haki.
Hofu haiwezi kuwa kigezo tosha. Na sidhani ni haki kwa mahakama kuzuia vikao vya taasisi yoyote au kuingilia agenda fulani isijadiliwe na kikao halali. Sana Sana Zitto angekuwa na kesi ya mshiko zaidi angezungumzia kutotendewa haki na KK pale alipovuliwa vyeo. Lakini hofu kwamba atavuliwa uanachama haina mashiko. Ile anaweza kuifanya baada ya kuvuliwa kweli.
Kuna wabunge wawili walivuliwa uanachama wakaenda mahakamani kuomba uamuzi usimamishwe na mahakama na haki zao zikalindwa. Inawezekana Mh Zitto anajaribu ku-pre-empty hiyo hali isitokee halafu aendelee kuleta mtafaruku ndani ya chama.
Hili ni pigo takatifu kwa Zitto Kabwe..
Me nadhani ni pigo kwa wahafidhina make lengo lao halijatimia
Mkuu nadhani Zitto alitakiwa kutumia busara zaidi mbona kina Mkumbo na mwigamba hatuwasikii? Au Zitto yeye ndo mkubwa sana? Hata ndani ya nyumba mmoja ni busara sana kujishusha na kuweza kukaa na kuzungumza na kurekebishana sasa Kama unakimbilia mahakamani ndo tuonane huko huko unakotaka
wewe unao ushaidi usiotiliwa shaka na usaliti wa zitto,acheni maneno ya kwenye magazeti na vijiweni, hakuna ushaidi wowote zaidi ya propaganda ili zitto achafuke apotee kwenye siasa.hizi ni siasa zilitumiwa enzi za wakomunisti,kwa dunia ya leo aiwezekani tenaUsiwe mshabiki kiivyo,sawa Zto atashinda mahakamani ataenda kuongoza chama kipi? emu acha kujitoa ufahamu kaa utulie ndipo ulete hoja yako.Mbowe anachuki gani na msaliti?
kwa maana hiyo kweli wapinzani ipo siku watashinda kiti cha urais?kama kila uchwao tunapokaribia uchaguzi mkuu ni mifarakano na kutungiana majina ya kila ainaKama unaona ni dhahabu chukuwa uitumie,kwa nini unalazimisha chadema waitumie,itakuwa ni vyema na haki kama hiyo dhahabu ikatumika ccm maana ndiyo mahali pake alipokuwa anapatumikia kwa kificho.
Nguvu ya pamoja kwa kuunda makundi ndani ya chama ili kuhakikisha unadumu madarakani,inawezekana kwa zitto hili unalosema ukaliona kwa umakini ila kwa mbowe na slaa ukawa kipofu,lakini ipo siku utabaini kuwa wale wote walio tofauti na wewe kimawazo,kimtazamo na kimkakati sio adui zako
Hata Rwanda si lolote si chochote kwa Tanzania lakini kuna mataifa yanayoitia kiburi...same kwa Zitto ambaye technically amejimaliza kisiasa, anafurukuta kwakuwa kuna fedha nyingi za CCM plus MNCs zenye kufaidi rasilimali zetu! Wanajua fika kuwa ile mikataba ya kishenzi ya kumiliki maliasili zetu 100% tena kwa miaka 99 itafutiliwa mbali!... Zitto alichokifanya ni kujaribu kudhoofisha CDM huku akijua kuwa huu ndo mwisho wake kisiasa ndani ya CDM lakini atakuwa na $$ kule Uswis...Si mlibisha mwanzoni kuwa Zitto si chochote si lolote na hawezi kuleta athari yeyote ndani ya chadema. Mmemkubali waziwazi, mmeshuhudia.
Hata Rwanda si lolote si chochote kwa Tanzania lakini kuna mataifa yanayoitia kiburi...same kwa Zitto ambaye technically amejimaliza kisiasa, anafurukuta kwakuwa kuna fedha nyingi za CCM plus MNCs zenye kufaidi rasilimali zetu! Wanajua fika kuwa ile mikataba ya kishenzi ya kumiliki maliasili zetu 100% tena kwa miaka 99 itafutiliwa mbali!... Zitto alichokifanya ni kujaribu kudhoofisha CDM huku akijua kuwa huu ndo mwisho wake kisiasa ndani ya CDM lakini atakuwa na $$ kule Uswis...
Endelea kujidanganya mwayegoSi mlibisha mwanzoni kuwa Zitto si chochote si lolote na hawezi kuleta athari yeyote ndani ya chadema. Mmemkubali waziwazi, mmeshuhudia.
Kiingereza cha Lissu kina ukomo
Nguvu ya pamoja kwa kuunda makundi ndani ya chama ili kuhakikisha unadumu madarakani,inawezekana kwa zitto hili unalosema ukaliona kwa umakini ila kwa mbowe na slaa ukawa kipofu,lakini ipo siku utabaini kuwa wale wote walio tofauti na wewe kimawazo,kimtazamo na kimkakati sio adui zako
Hizo kesi alizosimamia na kushinda zote aliongea kiswahili au bi Mkubwa wako alienda kumsaidia kuongea kiingereza?