Recent content by herbert george

  1. herbert george

    Medali

    Hali zenu wakuu, kwa hapa Dar naweza kuoata you mtengenezaji wa medali?
  2. herbert george

    Je, wajua? - Special Thread

    Je, wajua Mlima Pugu wa leo ulikuwa unaitwa Mlima Mogo?
  3. herbert george

    Breakfast uswazi!!!

    Mmmh itabidi nikuajiri
  4. herbert george

    Nawezaje kutafuta links mbalimbali Telegram

    Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia watu wakitumia telegram na wanakuwa na uwezo wa kufatilia links na channels nyingi ila binafsi nashindwa. Naombeni kueleweshwa hapa. Nawezaje search links au channels ambazo sijazifollow?
  5. herbert george

    Mkoa wa pwani na viunga vyake

    Wilaya ya kisarawe nimefika na team yangu tukaembelea Pango la popo Msitu wa Pugu Kijiji cha sanze Kaburi la muingereza na Kufahamu chanzo cha kifo cha chifu kibasila
  6. herbert george

    Mkoa wa pwani na viunga vyake

    Shukurani sana, Hapa nimepata mwangaza mkuu. Nitaanza ziara za wilaya hadi wilaya ili nifanikishe hayo
  7. herbert george

    Nichukue mkopo ninunue hati fungani, then malipo ya hati fungani nitumie kurejesha mkopo?

    Uzi umenyooka, asanteni sana wadau mnaoifungua akili yangu Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  8. herbert george

    Kwani Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) haiwezi kuwa na accounts za malengo kwa wanafunzi wa darasa la kwanza?

    Itakuwa ni idea nzuri sana ila changamoto tuliyo nayo Tz ni usjmamizi uoneshao uaminifu na uwazi. Mzee aliyeajiriwa miaka 30 iliyopita Leo hii anastaafu hadi anakufwa kama sio kufariki KIINUA MGONGO CHAKE KUKIPATA NI SHIDA he vipi au itakuwaje kwa mtoto ambaye amewekezewa fedha hizo toka kwa...
  9. herbert george

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Nazidi kuelewa kuwa asilimia kubwa ya watz ni hawajui ila hawajui kuwa hawajui na huu ni ujinga wa kiwango cha SGR. Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  10. herbert george

    Kwa wewe unayeanza maisha

    Wow, kiukweli mim sio mpenzi wa marangi rangi ila nilipoanza maisha niliselect rangi znazovutia machoni. Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  11. herbert george

    Mkoa wa pwani na viunga vyake

    Wadau naomba kufahamu hivi mbali na kisarawe kukaliwa na wazaramo na baadaye kumpokea mgeni wa kijerumani na kumuuguza hadi akapona na baadaye kutaka kutawala wenyeji au bagamoyo iliyokaliwa na jamii za kiutawala kadha wa kadha hivi ni maeneo yapi mengine yana historia hai sasa? Sent from my...
Back
Top Bottom