Kwahiyo balozi wa marekani aliyeko tanzania hajui yupo nchi gani mpaka sasa au hata huyo balozi hatambuliwi na nchi yao
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa mimi nimekuelewa kwenye hoja yako .. swali ni kama tulificha WHO wasitukague na tukaficha maradhi mlishawahi kusikia kesi yoyote kuhusu ebola Tanzania .maana najua media zenu zinajua sana kuandika kuhusu Tanzania . Tupe maandishi na machapisho kuhusu ebola nchini kwetu
Kama huna...
[emoji23][emoji23][emoji23] mwaka huu wanauliza ndege zina manufaa gani .... ufipa sio wa kuwapa hata uongozi wa kuku
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kutoka 2014-2019 ulikosa ila wengine walipata mfano mimi nilichelewa sikujiandikisha mapema ila nilikomaa mpaka nikapata kitambulisho tukubali tu tulizembea sana japo kwa sasa tunajisahau mno na kuona serikali haiwezi kufanya chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo tuache kulalamika mimi nilienda nida pale kinondoni mwaka 2018 mwezi wa 3 nilikuta kweupee hakuna watu nikajaza form nikakaa wiki nikaenda kupiga picha baada ya wiki 2 nikapata kitambulisho .. ukiwauliza watu miaka yote hiyo walikua wapi watakwambia foleni
Wacha sheria zitunyooshe tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.